Recent content by Thomas10

  1. Thomas10

    Kodi inayokatwa na Tanesco ya sh 2000 kila mwenzi kwa kila mita ielekezwe kwenye sekta ya afya

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yaani pamoja na kujaza vivutio, madini, bahari na maziwa, ardhi yenye rutuba na nguvu kazi.... Bado unapenda kuona bibi yako anaendelea kukukamua na huna unachotumia kwa bure[emoji28] Unalipa kodi Unalipa bima Unalipa ada Unachangia miradi (TOZO) Lakini hakuna...
  2. Thomas10

    Mada: Je, Ni Wakati wa Mabadiliko ya Uongozi kwa Maendeleo ya Tanzania?

    Unatuandikia sisi ambao tupo tayari kuchangia ziara za rais na wasanii Dubai huku tukishindwa kumudu gharama za matibabu? Sisi ambao tupo tayari kushinda juani tukiipongeza serikali na CCM huku tukilalamikia gharama za chakula km sukari, mafuta, mchele? Sisi ambao ndani tunalalamika ufisadi...
  3. Thomas10

    Hivi kuna watoto waliosomeshwa shule za kulipia na ni jobless?

    Watanzania ni wasahaulifu sana[emoji35] Ina maana huyu mtoa mada kasahau kwamba mwaka 2015 kurudi nyuma shule zote za sekondari zilikuwa za kulipia? Anasahau kwamba shule zote iwe serikali au binafsi zilikuwa na ada na michango mingine...na ... Hiyo maana yake n kulipia? Au bado anamezwa na...
  4. Thomas10

    Wakati Azimio wanaichambua Bajeti ya nchi yao Mitandaoni hapa Tanzania Chama kikuu Cha upinzani Chadema wako kimyaaaa!

    Gesi imepanda huko! Unalijua hilo[emoji2957][emoji2957] Next year Inafikia bei ya petrol na inachimbwa hapahapa[emoji1787][emoji1787] Endelea kusodoa, lakini naiona chadema kuendelea kukupa info za ufisadi ndani ya serikali yako pendwa ambazo hutazipata ndani ya chama chako[emoji1783][emoji1783]
  5. Thomas10

    Chuo Kikuu cha SAUT kwanini hatujasikia tamko lenu kulaani kitendo cha ukatili wa kingono kwa mwanafunzi wenu?

    Wew una chuo? Una hisa na SAUT? Mbona husemi RC afungwe? Na kama unahisi binti kutoa nyash ni kosa, kwanini hujaona rc kula nyash km n kosa pia?
  6. Thomas10

    Chuo Kikuu cha SAUT kwanini hatujasikia tamko lenu kulaani kitendo cha ukatili wa kingono kwa mwanafunzi wenu?

    Mbona hujasema CCM wamlaani kada wao.. Maana jamaa alikuwa mwajiriwa wao Mbona husemi serikali ilaani kwa chawa wake kumfira binti
  7. Thomas10

    Wakati Azimio wanaichambua Bajeti ya nchi yao Mitandaoni hapa Tanzania Chama kikuu Cha upinzani Chadema wako kimyaaaa!

    Hata CCM wanaweza kuichambua maana nacho ni chama cha siasa na bajeti inakihusu pia
  8. Thomas10

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Rais hatukanwi, anaambiwa yasiyopendwa kusikilika
  9. Thomas10

    Jinsi Crown media ilivyoajiri. Ni somo kubwa kwa Graduates wanaotafuta ajira. Zama zimebadilika

    Self education Academic education Field education Ukivipata hivi umetoboa popote kivyovyote
  10. Thomas10

    Naona si sahihi mtu kuweka plate namba ya Jina lake

    Gari linajitangaza lenyewe Nunua ndinga ya bilioni huko upite nayo kitaa, kila mtu atataka kujua wew n nan OK! Kwa kuwa maisha n kuchagua, hao huchagua upande huo na si ulimbukeni
  11. Thomas10

    Wazo: Serikali iruhusu kilimo cha bangi chini ya utaratibu maalumu (Bangi ni Pesa)

    Sikubishi, lakini tuone hapa pia[emoji116][emoji116] [emoji117] Hakuna kilimo (estate) ambacho hakitahitaji ukatwaji wa miti, unless kiwe kilimo cha kujikimu Hivyo bangi kuhitaji eneo kubwa ni sawa tu na korosho, ufuta, kahawa n.k [emoji117] Watu kuegemea zaidi kwenye bangi na kuacha mazao ya...
  12. Thomas10

    Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

    Nafikiri kila mtu aijenge familia yake kwenye misingi anayoona inafaa Tunakatazwa zinaa, hatufanyi? Tunkatazwa uvivu, hatushindi tubet? Tunakazwa wizi, hatuibiani? Vijana wangapi leo wanakula tigo? Video ngapi za ngono zinavuja, wanapelekwa wapi? Linda familia yako ndug
  13. Thomas10

    Kwa nini Rais hajakemea Ushoga badala yake anasema maadili?

    Nchi, makanisa na misikiti vinakemea zinaa, lakini vijana mnakesha mkifanga zinaa Nchi, makanisa na misikiti vinakemea uvivu, lakini vijana mnakesha mkibet Hiyo n mifano tu Sasa hata liwekwe bango kubwa angani la kukemea ushoga, bado mashoga na ushoga vitaendelea kuwapo Juzi imevuja video ya...
Back
Top Bottom