Recent content by THOMAS NJUMA

  1. T

    Wenje aeleza sababu za Pinda kuzomewa Mwanza

    Fight for maintaining freedom!
  2. T

    Nyerere alifanya kosa kubwa japo nia yake ilikuwa nzuri!!

    Ni kweli Nyerere alifanya makosa makubwa, lakini wewe unataka kufanya makosa makubwa zaidi japo nia yako ni nzuri. Itakuwa jambo la ajabu kuwa na serikali tatu kwa nchi mbili ambazo hazina uwiano wa kweli wa rasilimali za aina zote! Je, wewe unaogopa nini, kusema kwamba Muungano ufe. Wenzetu...
  3. T

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Zito Kabwe, kweli ana haki ya kugombea urais lakini anatakiwa apime hali halisi iliyopo, sababu bado amezungukwa sana na mazonge ya kutoaminiwa na wana-CHADEMA(wazalendo wa taifa hili). Ajipe muda labda baada ya mwaka 2015!
Back
Top Bottom