Acha dharau na upotoshaji! Sio kweli kwamba wahindi na waarabu ndio wanaendesha uchumi wa Tanzania. Kundi hili limepata upendeleo kwa muda mrefu,tangu kabla ya uhuru na kuchukua fursa zote kwa gharama za watanzania wazawa.
Kweli wewe ni ibilisi!
Hospitali ya Muhimbili ni hospitali ya Taifa siyo ya mkoa wa Dar es Salaam.
Halikadhalika,barabara za Dar ni muhimu kwa ajili yetu sote. Msongamano wa magari Dar es Salaam unaathiri mikoa yote na nchi jirani zinazotegemea bandari ya Dar es Salaam.
Shuhuda wako specific,ameuawa na green guard wa CCM, swali lako lina mantinki yoyote?
Acha tabia ya kutetea mambo ya namna hii katika nchi yetu. Waliotekeleza uovu huu wanapanda mbegu mbaya mno katika jamii yetu!
Peleka huko upuuzi wako na Mwigulu wako. Usiingilie mamlaka ya Magufuli. Mwache apange safu yake bila mashinikizo. Acha kumpigia debe huyo mpuuzi mwenzio.
Tumia akili angalau hata kidogo! Lubuva ni mwenyekiti wa tume,ndie msemaji wa tume. Kikwete hawezi kuwa msemaji wa tume. Takwimu za Lubuva ndio rasimi.
Kiinua mgongo cha waziri mkuu aliyestafu ni haki yake ya kikatiba na kisheria,siyo hisani,siyo msaada!
Anastahili kulipwa bila kujali yuko chama gani cha siasa au hana chama kabisa.
Fikiri kidogo kabla ya kuposti! Hiyo mahakama ya mafisadi ikifunguliwa si wabunge wengi wa CCM wataishia jela! Vipi kuhusu kina Chenge,Mama Tibaijuka,Ngeleja nk na mgawo wa escrow? Au ndio watakaoanziwa kushughulikiwa. Ukweli ni kwamba ccm hawana utashi wa kushughulikia mafisadi. Wangekuwa nao...
Acheni kudanganya Watanzania!! HAKUNA DIWANI YEYOTE WA MANISPAA YA TABORA ALIYEHAMIA CHADEMA.
Mnatia aibu kwa uongo wa kiwango hiki! Walioko kwenye picha hii siyo madiwani wa Manispaa ya Tabora.
Acheni kudanganya watu! HAKUNA HATA DIWANI MMOJA WA MANISPAA YA TABORA ALIYEHAMIA CHADEMA.
Kwa uongo wa namna hii mnathibitisha namna ambavyo hamtakiwi kuaminiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.