vodacom siipend na ndo maana nshaacha kutumia,,,,,,mnakatabia ka kukata salio bila xababu za mcng watu wakiuliza mnawacngizia either wamejiunga na huduma ya caller tunes na wakat yy hajajiunga naapengne mmemuonganxha wenyewe na ama anatumia huduma za kibenki na wakati mtumiaj hajaanza kutumia...
Embu niwekee hapo jf namimi nimeona tangazo lako kicm changu kinazingua andika anaependa kwenda biharamulo kutoka misugwi au magu tuwasiliane 0763157106
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.