Recent content by thobias ngosha

  1. T

    Karibu: Chuo cha Maji Ubungo, Dar es Salaam

    habari wanaJF samahani naitaji msaada kwa wenye experience kuhusu course yenye uwanja mkubwa wa ajira tokea chuo cha maji kati ya 1Water supply and sanitation Engineering the 2program Hydrology & Meteo rology 3Hydrology & Water Well Drilling 4Irrigation Engineering 5Water...
  2. T

    Kutoka Tabora: Kampeni za Chama cha Mapinduzi uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

    na aseme alieviuwa hvo viwanda ni nani asilete ushabiki wa lumumba
  3. T

    Kutoka Tabora: Kampeni za Chama cha Mapinduzi uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

    hatuitaki ccm hata wangegawa sementi bure
  4. T

    Kutoka Tabora: Kampeni za Chama cha Mapinduzi uwanja wa Ali Hassan Mwinyi

    wanapiga porojo hao na makomeo wao... watu wamefata fiesta ya bure
  5. T

    Magufuli, naomba ushahidi wa barabara zilizojengwa na CCM

    wanajisifiwa kuwa ni wataalamu wa kulialia na kuombaomba wacha wajisifie
  6. T

    Nimependa siasa za Lowassa

    naona wanasisiemi wakijitaidi kumshutumu raisi wangu anaengoja kuapishwa kila kukicha na sababu zao za ovyo. sasa nasema nyie sisiemu katafuteni wa kuwabadiri akili matahaila mnaowapa flana za kijani,ubwabwa na buku tano per day na sio watu wanaojielewa na wenye uchungu na tanzania yao..
  7. T

    Hivi kwanini mikutano mingi ya CCM hujazwa na wale waliovaa säre?

    hahahahaha tena usikute ndo haohao wanasafirishwa kila mikoa na kupikiwa ubwabwa na buku tano per day
  8. T

    CHADEMA/UKAWA kuzindua kampeni tarehe 29 Agosti, 2015 Jangwani

    ni dhahiri mambo ni magumu kwa ccm jaman sasa tukutane jangwani kuna bonge la suprise pale jaman.. najua siku ile watu walifata burudani tu toka kwa kina diamond na wenzie sasa kampeni yenyew hipo kesho tukutane pale malofa na wapumbavu wenzangu!!!! haya tukaneni sasa mana ukiona baba anatukana...
  9. T

    Samia Suluhu akutana na nguvu ya UKAWA Arumeru Mangharibi

    haya sema uongo wako ambao mnais mtatudanganya kama mlivozoea cku zote
  10. T

    UKAWA wazuiwa kufanya mkutano Jangwani na Uwanja wa Taifa

    hawana jipya sie wapumbav tushajijua na tufanya upumbv we tar 25 oc0
  11. T

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    magufuli anajimaliza kuyasema mauozo ya serikali ya mkwere kwa kujidai eti atalekebisha wakat na yeye yupo humohumo kwenye shimo la giza sa nashangaa kama anayanadi mauozo ya kaka yake swali ni je makamanda wa ukawa tuseme uozo gani wa ccm ikiwa magufuli kashakivua nguo chama chake???
  12. T

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    magufuli lazima ajue kuwa kwa ilani na sera zake ni kumsimanga kikwete.. sa anapozungumzia madawa hospital,mikopo kwa wanafunzi na ufisadi hzo zote ni kero za serikali ya mkwere wake na yeye halikuwa anaangalia tu.. leo anajifanya heti atalekebisha ni uongo mtupu
  13. T

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    hahahahahahahag... we ndo akili finyu we huoni watu wamefata show za fiesta? hapo kuna tamasha la wasanii na co kampeni... sijawai ona mzalendo wa ajabu kama wewe mana hata mzalendo wa jkt co mpuuzi hvo
  14. T

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    asijikute yeye ndo jk nyerere hana sifa hizo huyo hatoke kule.. naona leo jangwani kuna fiesta
Back
Top Bottom