Recent content by thlng89

  1. T

    JamiiForums Tanzania CRDB: Miyeyusho wiki hii

    🤣🤣🤣🤣😂😂
  2. T

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mkristu ila nimeamua kukiri kwa ridhaa yangu kua Uislamu ndio dini ya haki ya mwenyezi Mungu

    Vurugu hata upande wa pili zipo hiyo ni hulka ya mtu tu labda ufafanue vurugu zipi
  3. T

    JamiiForums Tanzania Amri Kiemba: Hakukuwa na sababu ya msingi iliyopelekea kuahirishwa kwa derby ya tarehe 8 March

    Habari ya kipigo kizito unatoa wapi Ama kulikuwa na Matokeo mifukoni Kabla ya match?
  4. T

    JamiiForums Tanzania Mbunge Abbas Tarimba apendekeza wabunge wapewe 'plate number' maalumu ili magari yao yatambulike barabarani

    Kwani Wananchi wa Kinondoni hawana changamoto zozote akawasemea?
  5. T

    JamiiForums Tanzania Huwezi kutenganisha Uislam na Uarabu wakati uislam Mwanzilishi na Muenezaji wa dini hiyo alikuwa Mwarabu

    Labda pengine kama ulikuwa hujui ni kwamba Qurani ni tofauti na Kiarabu... Kuna Waarabu wasiojua Quran.... Muktadha wa Yale yaliyoandikwa kwenye Quran kuanzia irabu mpaka silabi Una tofauti na ule wa lugha ya Kiarabu
  6. T

    JamiiForums Tanzania KERO Kutoka Kibada mpaka Mwasonga ni kilometer 18 tu, nauli inakuaje 1200? Latra mko wapi?

    Mwarobaini wa hayo yote ni kuwekwa Barabara ya lami tu
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Visa vya kufumaniwa Jifunze

    Mwambie wewe utakuwa "Kidumu" mwaminifu kwake...hapo chap tu
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuoa mwanamke bikira hakuwezi kuifanya ndoa yako kuwa bora

    🤣🤣🤣🤣🤣 Jibu lako limekaa kiuandamizi... Chukua hiyo 👊
  9. T

    JamiiForums Tanzania Usilolijua ni hili, zaidi ya askari 100 wametumika kumlinda Boniface Jacob Mahakamani

    Siku zote huwa naamini na nitaendelea kuamini kuwa kumtia korokoroni mwana siasa ni kumpaisha tu. Na pengine ushindi wa Boni yai kuwa mwenyekiti wa chadema Kanda ya Pwani kunaweza kuwa kumechangiwa na uwepo wake korokoroni. Boni yai angeshinda pengine sio kwa namna ile... Sympathy kwa wapiga kura
Back
Top Bottom