Labda pengine kama ulikuwa hujui ni kwamba Qurani ni tofauti na Kiarabu...
Kuna Waarabu wasiojua Quran....
Muktadha wa Yale yaliyoandikwa kwenye Quran kuanzia irabu mpaka silabi Una tofauti na ule wa lugha ya Kiarabu
Siku zote huwa naamini na nitaendelea kuamini kuwa kumtia korokoroni mwana siasa ni kumpaisha tu.
Na pengine ushindi wa Boni yai kuwa mwenyekiti wa chadema Kanda ya Pwani kunaweza kuwa kumechangiwa na uwepo wake korokoroni.
Boni yai angeshinda pengine sio kwa namna ile... Sympathy kwa wapiga kura
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.