Recent content by Thistime Tomorrow

  1. Thistime Tomorrow

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulijuaje upo kwenye mahusiano na kicheche bed to bed midfielder na haukuwahi kumdhania?

    Kuna mpare nlidate nae mwaka jana, ndani ya mwezi mmoja nkagundua ametuchanganya washikaji watatu tena marafiki. Baada ya mwezi tukaskia kagonganisha jamaa wengine wawili mapolisi. Yule demu alikuwa had anajitongozesha. Sina ham nao asee🙌
  2. Thistime Tomorrow

    JamiiForums Tanzania Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 800,000

    Shukran chief
  3. Thistime Tomorrow

    JamiiForums Tanzania Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 800,000

    Diploma ya Records and Archives Management. Biashara ya M-Pesa, Dagaa, au Samaki
  4. Thistime Tomorrow

    JamiiForums Tanzania Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa Tsh 800,000

    Kama Tittle inavyojieleza. Mimi nipo Mwanza, tangu 2022 nilikuwa nafanya biashara ya usafirishaji, bahati mbaya nilipata changamoto zilizofanya niyumbe sana kiuchumi. Hapa nimebakiza laki 8 tu nawaza jinsi ya kuanza upya ili niweze kuinuka tena. Natanguliza shukrani.
  5. Thistime Tomorrow

    JamiiForums Tanzania Ungana nami katika kukuletea updates za maandalizi na mikakati ya US kuipiga Iran

    Nchi za Waarabu zote zna maendeleo kuliko nyie ngozi nyeusi mnaojiona wenye akili kwakuwa sio waislamu. No Matter zilizopo Africa, Asia, Middle east au Eastern Europe. Na si ajabu hata Mama ako mchepuko ulokuwa una mhonga hela ulikuwa ni wa kiislamu👍
Back
Top Bottom