Hisa za crdb mbona ziko kwenye downtrend wiki ya pili hii kiongozi! Zilifika all time high hapo mwishoni mwishon wa august na sasa zinafanya correction.
Pili DSE hawapangi bei bali bei inakuwa drived na law ya demand na supply. Wanaozitaka hisa za voda ni wachache kuliko waliotayari kuziuza...
Wanataka kumonopolize ukweli. Wanachosema wao ndio uhalisia wakati hawana credibility hio. So sad, huu ndo uhuru wa vyombo vya habari wanaoutaka (kundika walaotaka liwe kweli)
Sawa kijana wa Taasisi, yani ufanye maisha yawe magumu kwa kunilazimisha nitumie VPN. Then urudi uniambie nijaze form ili kutumia hiyo vpn? Hivi huwa mnatuonaje. Unakatwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.