Recent content by think3r91

  1. think3r91

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Kwa maprofesa na madaktari wa uhandisi hususani hapo COET UDSM, tafuta Advances in Cement and Concrete Technology in Africa
  2. think3r91

    Kwa ujenzi huu wa Uwanja wa ndege Chato, Rais Magufuli anatukatisha tamaa "watu wake"

    Hivi wewe ni mtanzania?! Hata Bukoba pia unaweza kuwa hivyo. Miaka 50 ijayo huu nao utakuwa moja wa viwanja vingi vya Tanzania.
  3. think3r91

    Kwa ujenzi huu wa Uwanja wa ndege Chato, Rais Magufuli anatukatisha tamaa "watu wake"

    Wanachato Nao wanahitaji huduma kama hizi!!
  4. think3r91

    Mahakama kuu kanda ya Arusha imepanga kusikiliza Rufaa ya Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini

    Yule mwingine... Anaitwa Peter... yupo wapi?!
  5. think3r91

    “Ammunition Hill/Operation Opera” Tukio Lingine la kumuwahi Adui Kwa kumpiga Ngumi ya Chembe(Mossad)

    Boss.. if you can send the book to my email. I will be glad. Gratitude in advance
  6. think3r91

    Msaidizi wa Mbowe, Ben Saanane adaiwa kupotea. Mashinji asema wanaendelea na jitihada za kumtafuta

    Huyo erasto aka eraa ni mnafki sana. Katika kuhabarishana huwa anasema na kukana hakuna ndugu anayejua ben anaishi wapi . Na yeye huwa anakutana nae tu sehemu za wazi.
  7. think3r91

    Makomandoo wale wapo kwenye rank gani?

    Hapana. Huu ni UONGO. walichofanya ni sayansi asilia kabisa. Ukiwez kutawanya misumari katika umbali sawia kwa kila upande. Basi husababisha maumivu au madhara kidogo sana kwa sababu ya tabia ya ngozi. Mfano kukalia mbao moja unaweza umia makalio, ila kukiwa na mbao mbili au zaidi zilizowekwa...
  8. think3r91

    Serikali yamjibu Dangote. Yamtaka akachukue makaa ya mawe kutoka mgodi wa Ngaka

    Hivi... Ni jambo Jema kama wasipolipa Kodi?! Vipi kuhusu zile kelele za kodi kwenye makampuni ya kigeni kwenye sekta ya madini?!!
  9. think3r91

    Kuwanyima mikopo madaktari mwaka wa kwanza kwa kigezo cha kusoma private o level ni ubabaishaji

    Rekebisha kicha cha habari. Sio madaktari bali ni wanafunzi wanaosomea udaktari.
  10. think3r91

    Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia ujumbe Mkuu wa Mkoa wenye neno 'Shoga'

    Kuna mtu ameuliza humu. Kwa hiyo tulikuwa tunapinga n kukataa misaada kisa ya urafiki?!
  11. think3r91

    Mke wa Mbunge Lema ashtakiwa kwa kumtumia ujumbe Mkuu wa Mkoa wenye neno 'Shoga'

    Mbona kauli za huyu mama ZINAJIKANGANYA?!
Back
Top Bottom