Recent content by ThickDarkness

  1. ThickDarkness

    Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

    Nimefuatilia Huu Uzi Mpaka Hapa. Kwanza Story Ni Tam. Ila Nahisi Wee Jamaa Ulikua Zero Brainer 😉😉 Lakini pia nimejifunza Kitu kikubwa Sana Toka Kwako. Lakini Pia Majivuno Na Pesa Vilikua Vina kuendesha Sorry 😔 Lakin Ni Mtazamo Wangu Tu
  2. ThickDarkness

    Safari yangu "Kitchanga" mji uliotekwa M23

    Kama Upo 2025 Gonga Like. Hivi Huyu Jamaa Mtoa Story Yupo Kweli
  3. ThickDarkness

    Hivi ni haki kwa mke kumficha mumewe password ya simu yake?

    Kama unapenda Amanin Usijalibu Kugusa Sim Ya Mkeo Au Mmeo
  4. ThickDarkness

    Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

    Kule ni US Baba Siyo Bonyokwa Au Chikanamulilo
  5. ThickDarkness

    Ushindi wa Trump ni pigo kubwa kwa CCM

    Daaa ko mwanangu uliataka nako kuwe na hekheka kama huko +255
  6. ThickDarkness

    Video zinagoma kufunguka kwenye account yangu ya mtandao X

    Hili Tatizo lipo Kwa baadh ya watu wanao Tumia mtandao wa Vodacom. Njia ni rahisi Tu Tumia VPN
  7. ThickDarkness

    Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

    Wamechokozwa ko lazima Israel Amchape Ilani Moja Kwa moja
  8. ThickDarkness

    Mimi nikajua Israel huwa inajibu mapigo muda huohuo. Leo ni siku ya nne

    Ukiwaingilia bila guard wana Gawa dozi wastani Kwa idadi. Hapo lazima calculation zihusike Israeli wametambua Washkaji siyo wanyonge hata kidoga.
  9. ThickDarkness

    Jinsi ya kumfurahisha Mwanamke wako

    Apo mada kuu ilikua ni kua na pesa
  10. ThickDarkness

    Nimepata homa kali baada ya kufanya mapenzi

    Tuma picha ya huyo demu ulo lala nae. Ila nasikitika kusema ndo basi tena😎😎🫡
Back
Top Bottom