Safi Yanga waendelee kushikiria hapo hapo na waendelee kumlipa mshahara hadi mkataba wake uishe na wala wasimshitaki kwa kukiuka mkataba ili ifike hiyo 2024. Kiburi si maungwana na tumeona hata Ulaya mchezaji anasusa kwa kubip Ila mwisho anarudi mwenyewe. Sasa Totooo anajifanya hard head.
Nawapongeza watani wangu Simba kwa pre season nzuri. Moja ya mafanikio mazuri kwenye michezo ni maandalizi Kama hayo. Timu iweke kambi nje huko na icheze na timu za madaraja mazuri. Nadhani tusiwabeze Simba hawa Ila tushukuru Mungu mambo yameiendea vizuri timu yangu ya Yanga, natamani msimu ujao...
Endeleeni na furaha zenu za kulazimisha za miaka ya 1970, sisi tumaendelea na furaha tunazozishuhudia wenyewe. Napenda kuwapa pongezi kwa kufika nusu fainali mwaka 1974, hongereni sana Simba.
RAGE aliwaita mbumbumbu na hilo naendelea kuamini. Kwa akili ya kawaida tu ungeangalia kila kocha aliikuta timu ina hali gani. Nabi kaingia Yanga timu ndiyo kwanza ilikuwa inaanza kujitafuta na wachezaji wanaingia na kutoka, wakati huyu mwingine kakuta timu iko robo fainali. Nadhani tuombe Mungu...
Hizo timu zote ulizozitaja zimewahi kuwa mabingwa wa Afrika kwa nyakati tofauti tofauti, vipi kuhusu timu yako. Anyway acha tushinde kwa vibonde wenzetu na wewe shinda kwa unaowaita wakubwa wenzako tuone.
Nakubaliana na wewe nikiwa mwana Yanga kindakindaki wa tawi kubwa sana hapa Nchini. Kila siku nasema Simba sio mbovu kama tunavyodhani, Ila ubora wa Yanga unaifanya Simba ionekane mbovu. Yanga anaweza kushinda sababu tu Simba ukimzuia Chama timu haichezi na kwa miaka mingi Yanga wamefanikiwa kwa...
Unaleta mada kiudaku udaku tuu. Timu zitatoa sare hakuna sababu, Yanga na Simba watatolewa hakuna maelezo. Hivi hawa Walimu wenu wa siku hizi hawawafundishi kujenga hoja, lo hiki kizazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.