Mdahalo sio kitu kidogo hasa kipindi hiki tunachoelekea uchaguzi ikitokea mmoja ulimi ukateleza inaweza zalishwa ajenda hapo na ikawa fimbo ya kumuadhibu.
Kama wabunge wenyewe wanakili hawalipi Kodi tena wabunge wasomi wa sheria kama Jerry silaa alafu Leo mnataka kutuaminisha kua mnalipa Kodi. Lipeni Kodi kwa hizo 9m ambazo ni posho kama wazalendo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.