Hizo ni tetesi uchwara!!
Taasisi hizo zina pesa ya kutosha ya kulisha tanzania nzima kwa mwaka mzima, na wastaafu wakapata pension yako kama kawaida.
Acheni kutisha wa2. Shenzi.
Nssf ipo juu jamani siyo kama masharika haya mapya yaliyokuja sasa hvi. Nssf ina huduma nyingi zaidi ya hyo ya kulipa wastaafu.
Msiandike vi2 msivyönauhakika navyo. Nyambafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.