Sio watoto tu hata wazazi tumeumizwa, kwani baadhi ya shule walipiga hesabu ya hayo masaa 2 yaliyoongezeka pamoja na siku za kufunga shule December zilizosogezwa mbele wakauita robo muhula na wakaongeza ADA wakasema hayo ni maamuzi ya bodi za shule.
Msaada nahitaji mpunga aina ya KAHOGO na PICHOLI hizi ni mbegu za asili zamani zilikuwa zinapatikana mikoa ya kanda ya ziwa hususani mkoani Mwanza. Mwenye aina hizo za mpunga tuwasiliane tafadhali. Ni kwa ajili ya mbegu. Asanteni.
Wakuuu natafuta mpunga mbegu za kienyeji aina ya KAHOGO, na PICHOLI. Kwa ajili ya mbegu. Mwenye aina tajwa hapo juu aje PM. Mbegu hizi miaka ya nyuma zilikuwa zinapatikana mikoa ya kanda ya ziwa hususani mkoa wa Mwanza.
Nimefuatilia maelezo ya kwa kina mkuu, bado mnatukanganya sehemu moja. Sisi tunachohitaji kujua ni hivi:- Ni nani anayemiliki hizi DATA ambazo zinakuwezesha uweze kupata Internet na hizo DATA zinatengenezwaje?.
Mkuu paperbag za kubeba hivyo ulivyovitaja hapo juu zipo. Tatizo litakuja kwenye bei. Ninasema hivyo maana nimeona kwa majirani zetu Kenya hiyo mifuko ipo lakini ni ghali ambapo mteja wewe ndiye unayelazimika kuununua na sio sehemu ya huduma kutoka kwa muuzaji wa bidhaa kama tulivyozoea. Mfano...
Kwanza niwapongeze kwa kuweka ukurasa wenu kwa ajili ya kujibu na kushughulikia kero na malamiko mbalimbali yanayoelekezwa kwenu. Pongezi.
Mimi nilitaka kujua juu ya lifuatalo:- Nilikuwa na biashara ya duka maeneo ya Temboni likavunjwa kwenye zoezi la upanuzi wa miundombinu. Je kwa utaratibu...
Asante kwa somo zuri, mimi ninahitaji msaada wako katika biashara ambayo imeanguka kisha ina madeni mengi na kwa sasa ninajipanga kuifufua upya. Kwa kifupi ni kwamba nilikuwa naendesha biashara ya bakery kwa kipindi cha miaka 6, lakini kwa bahati mbaya mwaka 2016 nilivunjiwa mahali nilipokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.