Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990
Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!
Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya...
Baada ya kupigika mno, nimeomba gari ya mtu walau nijipatie pesa kidogo kusogeza siku mjini!
Gari niliyopata ni Passo, 3 piston n'a cc990
Jamaa ananiambia anataka nimpatie hesabu ya 40k kwa siku, mafuta juu yangu!
Wenye ujuzi niambieni, hii imekaa sawa?
Kwa hesabu hii ninaweza kupata hesabu ya...
Nimekaa na kutafakari sana baada ya kukutana na mama mmoja maeneo ya mitaa ya katikati ya mji wa Morogoro.
Huyu mama ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 15-17, kwa maelezo ya mama yake ni kwamba kijana wake amelazimika kuacha shule kutokana na kukumbwa na maradhi yasiyoeleweka...
Nimekaa na kutafakari sana baada ya kukutana na mama mmoja maeneo ya mitaa ya katikati ya mji wa Morogoro.
Huyu mama ana mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka kati ya 15-17, kwa maelezo ya mama yake ni kwamba kijana wake amelazimika kuacha shule kutokana na kukumbwa na maradhi yasiyoeleweka...
Masheikh wa aina ya huyu jamaa ni wapumbavu sanaaa, issue ya bandari inajadiliwa kwa kufuata vipengele vya mkataba, TEC wameukosoa mkataba straight way, hakuna mahali wametaja BAKWATA wala UISLAM!
Wao kama wanaona mkataba uko sawa, walipaswa kutoka hadharani n'a kuu-analyse mkataba kipengele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.