Recent content by Thembisa20

  1. T

    Hongera sana Pascal Mayalla, Ndio Mwandishi Pekee Uliyemuuliza Swali Rais Magufuli

    Hv Tanzania kwanini waandishi wengi wa habari ni waoga na hawajiamini wala hawawezi au niseme hawajui hata kuuliza maswqli hii ni aibu kubwa sana
  2. T

    Hali mbaya kwa Hillary Clinton, yawezekana akafungwa

    Hv mtu unaona fahari gani kuandika Uongo na ndio maana unatengenezwa mswada wa habari kwa ajili ya watu kama ww
  3. T

    Nyumba au kiwanja cha kununua kinahitajika

    Tatizo moja ni tamaaa madalali wengi wa bongo wamevamia fani sio zao wanalazimisha wakiamua kufanya partinership watatoka kama huyu anakuja na mbwembwe nyingi kumbe hakuna kitu mm nina Nyumba Kigamboni na ni ya kisasa nauza lakini sikwa mtindo huu na siitaji dalali maana madalali wengi...
  4. T

    Kipaumbele cha serikali yetu ni kipi?

    Kipaumbele chetu ni ndege na watanzania hawa wanataka ndege .
Back
Top Bottom