Recent content by TheMaster

  1. TheMaster

    Jiji la Arusha limekuwa chafu chini ya Kihongosi

    Tangu Kenan Kihongosi aapishwe ukuu wa mkoa wa Arusha, hali ya mazingira ya mji si shwari tena kipindi ambacho ni high season ya watalii wengi kutoka ughaibuni Barabara ni chafu Garden za mji ni chafu Roundabouts chafu majani yameoteana kiasi cha msituni Arusha hatujazoea hivi mkuu wa mkoa...
  2. TheMaster

    Samia mrudishe Khery James kwenye Chama, atakusaidia kipindi hiki

    hawaendani na matakwa ya walaji
  3. TheMaster

    Samia mrudishe Khery James kwenye Chama, atakusaidia kipindi hiki

    yupo vizuri kwenye kuprovoke na kueneza ajenda. kukerana na kuzodoana ndo kazi ya siasa
  4. TheMaster

    Samia mrudishe Khery James kwenye Chama, atakusaidia kipindi hiki

    Moja ya kitu ambacho kinahitajika kwenye kufanikiwa kwa kila taasisi ni kumuweka mtu anapostahiki, kumpa mtu sifa anayostahiki lakini kumpa majukumu mtu anayostahiki zaidi eneo alilobora zaidi. Tumekuwa na tabia ya kumpa mtu nafasi kulingana na ukaribu wetu na sio ubora wake kwenye jukumu...
  5. TheMaster

    Zitto na Ponda Kupitia ACT wanafanya Islamic Radicalization kwenye Taifa Kwa kutumia Umaarufu wao wa Kidini na Kisiasa

    Wale ni wadini na wakabila, kitima hajaoa na lisu anasapoti ushoga. Wote hawana akili
  6. TheMaster

    GE2025 Heche: CHADEMA tuko tayari kwa uchaguzi kama mabadiliko yatapatikana

    Akili za makalioni hizo, Uchaguzi tutashiriki na OKTOBA TUNATIKI
  7. TheMaster

    Zitto na Ponda Kupitia ACT wanafanya Islamic Radicalization kwenye Taifa Kwa kutumia Umaarufu wao wa Kidini na Kisiasa

    Mikristu hainaga akili: wanyewe kunukuu vifungu vya biblia kwenye mikutano yao wanaona sawa, wenzao wakinukuu Quran wanaona vita. Futa upuuzi wako hapo
  8. TheMaster

    GE2025 Arusha: Kula kwa Makonda Kura kwa Gambo

    Makonda alikuwa anapendwa zaidi na Magufuli na hakushinda kigamboni
  9. TheMaster

    GE2025 Arusha: Kula kwa Makonda Kura kwa Gambo

    Watu wa Arusha Hela haijawahi kuwa Tatizo kwao
  10. TheMaster

    GE2025 Arusha: Kula kwa Makonda Kura kwa Gambo

    Nikiwa na pitapita zangu jijini jana nikakutana na mama mmoja mwandamizi wa chama mjini Nikamuuliza kwahiyo mama ndo tunaenda kumpa Arusha mtu ambae hata haijui Arusha, hata miaka mitatu hana. Mama kaniambia KULA KWA MAKONDA, KURA KWA GAMBO
  11. TheMaster

    PreGE2025 Kama uchaguzi utakuwa huru na haki, Makonda hatoboi Arusha

    Kuna fukuto kati ya makonda na Gambo kugombea Ubunge jimbo la Arusha mjini, maneno na maoni ya wananchi na wanachama muhimu wa CCM yamekuwa mshale mkali dhidi ya makonda. Nimezunguka kutaka kufahamu maoni ya wanachama waandamizi wa CCM mkoa wa Arusha kuhusu mkuu wao wa Mkoa na hamu yake ya...
  12. TheMaster

    Nchi hii kwa sasa inahitaji Rais Dikteta

    Hapo nyuma kidogo palisemwa kuwa Taifa lilipofikia linahitaji rais dikteta. Dikteta akaingia na akatawala kidikteta kweli kweli Upinzani makaminywa mazaga Vyombo vya habari vikaminywa mazaga Wapinzani wakatekwa Wapinzani wakauwawa Risasi zilirindima mchana kweupe Utenguzi wa watendaji...
Back
Top Bottom