Mfa maji yani kwa akili fupi mtasema eti ooooh!!! ndo maana alikimbia hata tanga mlisema hivyo na chatobmkasema na hata hapo hatishangai ila hakuna aliyepiga kampeni za ubunifu kama ENL wasio jua tyuuu ndo wqnabaki kumuamsha mgonjwa wampe dawa ya usingizi
Kwani we ndo unaratiba ya kampeni zake?? acha ufara mbona mwanza hawajaenda?? nawalikua karibu na hapakuwa mbali? we usione tu ukaamua kulopoka kwKitu usichokijua wanaenda kw mipango sio kama kondooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.