Ukibet mwenyewe unajiamini sana kuliko uki share. Zile unazoziamini kuwa zinatoa mpaka ukaamua kushare, ndizo zinazoharibu. Zile ngumu kabisa ambazo unaona haziwezi kutoa ila unajaribu mwenyewe, ndizo zimazotoa
Habari za wakati huu wana jamii forum?
Leo nimekuja na swali ambalo nina uhakika nitapata usaidizi kutoka kwa wahusika au wazoefu wa hiki ninachotaka kuuliza.
Ni zaidi kama miaka miwili leseni yangu ya udereva ilipotea na muda wake ulikua unaisha mwaka huo. Bahati mbaya sikupata nafasi ya...
Kinachoniumiza kwenye kifo ni kimoja tu. Nawaachaje walio hai ambao ilitakiwa niwatengezee njia.......
Yaani nikiambiwa nichague kati ya kufa na kuishi,naona bora kufa... nimeshasema kinachonipa hofu ni nini.
Nikimuwaza mwanangu bado mdogo na sijamtengenezea mazingira mazuri ya kuishi, basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.