Recent content by thefarmer

  1. T

    Faida na soko la Biashara ya usafirishaji mizigo ipoje?

    Habari wanajamii, nilikuwa na ndoto ya kusave nije kuanza biashara ya kusafirisha mizigo (kutumia semi) au hata kuwa na tipa la howo la 20cm3. Nimejikuta kuzikubali sana hizi tipa za howo kasoro tu sijui soko lipoje na faida ipoje? Hivyo naomba mtu atakaeweza kunielekeza faida kwa upande wa...
  2. T

    Bei ya tambi za kupima na bei ya tambi za pakti

    Habarini WanaJamii nilikuwa naomba kupata kujua bei ya tambi za kupima hapa Dar es salaam. Na je zile za pakti za dukan nazo ni bei gani. Asanten sana in advance
  3. T

    Hivi bei ya kibarua kubomoa sakafu ya concrete ya 2 by 3 mita inaweza kuwa shilingi ngapi?

    Naomba kujua bei ya kibarua wa kubomoa sakafu ya concrete ya kama metre 2 kwa tatu natakiwa kumlipa shilingi ngapi kwa kawaida.
  4. T

    Naomba msaada wa Makadirio bila finishing

    Naomba msaada kwa mtu anaeweza kunikadiria ujenzi wa nyumba ya ramani hyo hapo juu bila finishing inaweza gharimu shilingi ngapi?
  5. T

    Bei za matank ya maji kuanzia lita 1000-8000

    Habari wanaJf,nilikuwa naomba kama kuna mtu anaejua bei za matank aniorodheshee za kuanzia lita 1000 mpaka lita 8000. Thanks in advance [emoji120]
  6. T

    Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

    Kuibiwa inawezekana lakini kama ukiweka system za ulinzi vzr chances za kuibiwa zinakuwa ndogo na pia eneo la makazi linategemea kwani kuna sehemu ambazo wizi sio mwingi kama zingine
  7. T

    Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

    Naijua vzr sema kuan sehemu wizi sio mwingi na pia ukiweka system ya ulinzi vzr bila magrill mbona unatoboa tu
  8. T

    Kwanini Watanzania lazima tuweke magrill kwenye madirisha?

    Je, ni kwanini watanzania wengi lazima tuweke magrill kwenye nyumba zetu mbona marekani ujambazi ni mwingi kuliko kwetu lakini hawawekagi magrill kwenye madirisha? Je, unaweza kuishi kwenye nyumba isiyo na magrill?
  9. T

    Naomba kwa anayeweza kunikadiria ujenzi wa nyumba ya chumba kimoja kwa msingi

    Kwa dar es salaam pande za Tabata inaweza fikia total ya shingapi?
  10. T

    Naomba kwa anayeweza kunikadiria ujenzi wa nyumba ya chumba kimoja kwa msingi

    Habari wadau naomba kuuliza kujenga msingi wa nyumba ndogo ya chumba kimoja inaweza gharimu shilingi ngapi?Nimeweka picha hapo chini. Vipimo vyake ikiwa ni mita 6 kwa 6
  11. T

    Ujenzi wa nyumba kama hii unaweza kugharimu kiasi gani?

    Hapana ninataka tu kujua ili nichague option ambayo ni sahihi na salama kwa kujenga nyumba imara.Kwa sasa siwezi kupanga focus yangu ipo kwenye kujenga na kuhamia kwangu naamini ninaweza kwa msaada wa Mungu.
  12. T

    Ujenzi wa nyumba kama hii unaweza kugharimu kiasi gani?

    Je kama uredu usipokuwa official protocol ya ghorofa,msingi si unaweza kuwa kama wa nyumba ya kawaida tu ?
Back
Top Bottom