Hii hukumu imekaaje? Kuna kiongozi mwingine wa serikali nimeona amehukumiwa na mahakama hii hii kwa kosa la ubadhirifu wa fedha za wananchi kama milioni moja hivi na kidogo, hukumu yake ilikuwa jela miezi tano au faini ya laki 2.
Sasa huyu hongo ya elfu 60 asote rumande miaka minne au fainu ya...
Utajiri na umasikini vipo kwenye fikra mdogoetu. Kufanya kazi za kuajiriwa sio mbaya kama unafanya kwa malengo na unajitambua, unaijua size ya future yako. Sikushauri uifanye kwa mda mrefu. Ifanye mpaka pale ambapo malengo yako ya kusonga mbele yatakuwa yametimia
Utajiri na umasikini vipo kwenye fikra mdogoetu. Kufanya kazi za kuajiriwa sio mbaya kama unafanya kwa malengo na unajitambua, unaijua size ya future yako. Sikushauri uifanye kwa mda mrefu. Ifanye mpaka pale ambapo malengo yako ya kusonga mbele yatakuwa yametimia.
Wakuu, nina degree ya ualimu (kwa masomo ya MATHS & IT).
Nimehangaika sana angalau kupata sehemu napoweza kupiga kibarua nipate chochote kitu ila wapi!
Naomba kama kuna mtu anaweza kuniunganisha au kunisaidia kupata job afanye hivyo tafadhali.
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.