Kuna upotoshaji mkubwa hapo. Sheria inakuacha huru kwa utetezi wa self defence ambao unatakiwa pia uthibitishe bila mashaka kua uliua katika kujitetea/kujilinda kwa mtu aliekua anataka kukudhulu aku kufanyia jinai yoyote sio lazima kulawitiwa au kuliwa ndogo.
Hizo barabarq zilijengwa wakati wa Kikwete tena katika hati ya dharura ili kuwapunguzia wananchi mzunguko thus zilikua na budget ya chini kwa lengo ya kiuja kuziboresha baadae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.