Recent content by Thebroker

  1. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Nianzie wapi? nataka kuoa na kipato changu ni around 300k kwa mwezi

    Jipe muda, endelea kupiga puli wakati unajikusanya.
  2. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Hivi Wanawake Mkizama Penzini Akili Huwa Mnaziweka Wapi?

    Akili zinaenda uchini
  3. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Siku 100 zimepita, Meli ya Uvuvi aliyoizindua Samia, Imeshindwa kuvua samaki hata mmoja

    Cc: Lucas Mwashambwa
  4. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Rais Samia Anaweza Kuongoza Taifa Kwa Mafanikio Makubwa Hata Bila Katiba

    Watakubandua sasa, unapitiliza mno
  5. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Tanzania inaruhusu kumuua mtu anaekutishia kukubaka/kukulawiti/kukudhuru kimwili katika harakati za kujihami

    Kuna upotoshaji mkubwa hapo. Sheria inakuacha huru kwa utetezi wa self defence ambao unatakiwa pia uthibitishe bila mashaka kua uliua katika kujitetea/kujilinda kwa mtu aliekua anataka kukudhulu aku kufanyia jinai yoyote sio lazima kulawitiwa au kuliwa ndogo.
  6. Thebroker

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Mbona kama anarud nyuma, tume ya chande ilikua ya nini? Afu kuna ile tume ya remedies sijui ya jaji nani nayo bado ipo kazini.
  7. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Wazee wenzangu, mnavipataje hivi vitoto vya 2000? Maana nimejaribu kila mbinu nikafeli

    Vya 2000 vishakua vi grand, sokoni vipo vya 2005 mala 2007.
  8. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Ufahamu: Namna ya Kuwabaini Matapeli wanaotumia mbinu ya kupiga Picha na Viongozi

    Sikuwai kujua kama kuna lunch ya usiku kama mwamba aliopata na mheshimiwa JK
  9. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Samia Suluhu apewe maua yake barabara ya Singida - Kateshi. Kazi na Utu - tunasonga mbele...

    Hizo barabarq zilijengwa wakati wa Kikwete tena katika hati ya dharura ili kuwapunguzia wananchi mzunguko thus zilikua na budget ya chini kwa lengo ya kiuja kuziboresha baadae
  10. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Mbona alikua mwepesi tu afu mtu wa pombe nyingi...japo nilimtisha tu
  11. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Mke wangu hapendi kujifunika shuka moja na mimi, nifanyaje?

    Uache kula maharage usiku
  12. Thebroker

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la wanawake kukosa heshima kwa waume zao nini kipo nyuma ya haya yote?

    Peleka moto,mbato kama unambato malaya, binua bibua uwezavyo. Wana miss sana hivyo vitu ndo mana wanaenda vitafuta mtaani
Back
Top Bottom