Habari Fundi…Nimechorewa ramani hii kwa hatua za awali kabla ya kuweka vipimo na kuendelea na hatua nyingine..Kwa uzoefu wako kuna nini cha kuboresha au kupunguza ili mchoraji aendelee
Habari Fundi..Natarajia kuanza ujenzi wa msingi wa nyumba ya vyumba vitatu(2 master,1single),sitting room,dining,kitchen,store na public toilet.
Eneo ni la kiwanja ni 35*16.5 tambalale liko mwanza
Naomba kujua makadirio ya gharama za msingi
Tafuta dawa hii kwenye pharmacy
Persol 2.5gel pakaa mara moja kila siku usiku tu.
Ukiweza katika muda wote wa matibabu usipakae kitu chochote usoni isipokuwa dawa tu ukishindwa pakaa mafuta ya nazi.
Baada ya kupona tafuta body lotion for oily skin au yenye lemon hii itakuwa inasaidia kukamua...
Poleni sana hiyo inaweza kusababishwa na tatizo la hormonal imbalance..angalia kama anatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango kama sindano,njiti,matumizi ya vidonge vya dharula (p2)..kama jibu ni ndio basi amuone doctor ili aangaliwe ni hormone zipi zimezidi ili ziweze kurekebishwa
Habari ..
Angalia vitu hivi ni lini mara ya mwisho umewapa dawa ya minyoo?,chunguza hiyo shida inatokea hasa baada ya kula au kunywa nini? Kwa maana kwamba wanaweza kuwa na allergy na baadhi ya vyakula pia kapime ujue kama wanamchafuko wa damu..
Mkuu hii tunasema huwa ni side effect za hizo dawa,ni dawa ambazo ziko katika mchanganyiko TLE(Tenofovir,Lamivudine,Efavirenz) hiyo Efavirenz ndio hupeleka mtu kuota ndoto mbaya na mara nyingi hudumu kwa week chache toka mtu aanze kuzitumia kama ikatokea mtu ameshindwa kabisa kuzioea hizo ndoto...
Licha ya kutumia dawa jitahidi kuepuka mazingira yatayokuwa yanafanya bawasiri ijirudie mara kwa mara..Epuka kukaa choo muda mrefu,jitahid kwenda choo pale unapobanwa na haja ili kuepuka choo kuwa ngumu,punguza kula vyakula vitavyofanya choo yako kuwa ngumu(ngano) kama una uzito uliopitiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.