Nawaza kwa sauti.HIVI MTUMISHI ANAJIHAMISHA AU ANAHAMISHWA MH SASA HAJAHAMISHWA KWA MIAKA NANE KOSA LA NANI.Sasa kama unajua katengeneza mtandao wa wizi wewe ukiwa kiongozi mwenye dhamana kumsimamisha kazi ndio umvunja huo mtandao je hao wengine wako wapi.Oh nawaza kwa sauti
Hii nimeishuhudia kwa macho yangu hapa wilayani Rombo kwenye kampuni ninayofanyia kazi.Dereva kibarua kimeota nyasi wakati kosa hajafanya yeye wala hakuwepo.
Hujaona vituko wewe,unakataza kitu hiki usifanye madhara yake ni haya unaondoka unarudi mwenzio ndio kwanza ushoga umenoga wanapiga soga hata kuona hakuoni,kupika hana muda anakula kwa shogaye ukiuliza jibu:kwani nikienda kuna nini,unafuatilia mawasiliano yake sms za kijinga na kushauriana...
Hahahaaaaaa hivi unaamini dini kweli.manabii wangapi walikutwa na madhila tofauti tofauti ilhali walikua wajumbe wa Mwenyezi Mungu unadhani masaa 300 ni mengi? Try to think big
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.