Private joker
Member
- Oct 31, 2016
- 38
- 71
Ikiwa hata kwenye vitabu vya dini imeandikwa, kuishi na hawa mama zetu inabidi kutumia akili Kubwa sana. Bila shaka hautashangaa kuwa akili zao huwa zinafanana sana, iyo isije ikakufanya eti kwa tabia ndogo ndogo za kipuuzi azifanyazo mwenza wako umuache kwa kudhani uko uendako hutozikuta nahsi utakuwa unajidanganya, wanawake walivyo unaweza kuta anajua kabisa kitu ichi ni cha kipumbavu na anakifanya makusudi kabisa, dhamira yake siyo akuchukuze ila anataka umwambie na umkaripie kwamba we mwajuma acha iyo.
Muda mwingne unajiuliza hivi huyu mwanamke wangu kichwani kwake Kuna matope au akili. Usije ukashangaa unamwambia kabisa hey wife saa Sita Kamil ntakupigia Kuna kitu nataka tuzungumze, saa Sita inafika unapigaaaaa weeeee simu haipokelewi au haipatiakani kabisa baadaee uko saa kumi ndio anakupigia alafu anakupa jibu rahisi kabisa " nilikuwa napika simu nikaisahau ndani au u meme ulikatika " kha sasa unajiuliza kama ulijua simu itaishiwa na charge kwa nini usinijulishe kwa msg kabla. .?
Kama unahasira sana unaweza ukapiga kwa kudhani kuwa anakudharau au alikuwa anachepuka. Au from no where unakuta siku nzima kanuna tu bila sababu ukimuuliza anakuambia madudu gani sijui. Haaaaa mungu tusaidie sasa tushirikishane machache uliyokutana nayo kwenye akili zao ili yakitukumba tusijawe na hasira bali tujue ndivyo walivyo.
Private joker hapa alpha coy
Muda mwingne unajiuliza hivi huyu mwanamke wangu kichwani kwake Kuna matope au akili. Usije ukashangaa unamwambia kabisa hey wife saa Sita Kamil ntakupigia Kuna kitu nataka tuzungumze, saa Sita inafika unapigaaaaa weeeee simu haipokelewi au haipatiakani kabisa baadaee uko saa kumi ndio anakupigia alafu anakupa jibu rahisi kabisa " nilikuwa napika simu nikaisahau ndani au u meme ulikatika " kha sasa unajiuliza kama ulijua simu itaishiwa na charge kwa nini usinijulishe kwa msg kabla. .?
Kama unahasira sana unaweza ukapiga kwa kudhani kuwa anakudharau au alikuwa anachepuka. Au from no where unakuta siku nzima kanuna tu bila sababu ukimuuliza anakuambia madudu gani sijui. Haaaaa mungu tusaidie sasa tushirikishane machache uliyokutana nayo kwenye akili zao ili yakitukumba tusijawe na hasira bali tujue ndivyo walivyo.
Private joker hapa alpha coy