Recent content by The Undisputed

  1. The Undisputed

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    Ww mbona umeyatia uvunguni, taja hao watu si mjuvi ww
  2. The Undisputed

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    Anasema khsu range ambalo linasemekana amelipata kwa Achimw** watu hawataki kukubali kuwa ni mala wanakalia kwenye kivuli cha ni ya kwake acha aitembeze,
  3. The Undisputed

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    Rosey ana collaborate na kila African cele kutoka kila nchi kwa ajili ya biashara za kinywaji chake
  4. The Undisputed

    Hamisa Mobetto penzini na Kigogo wa Yanga!

    Anamtetea mdangaji 😂 😂 😂, anasema ipo siku atapata wa kudumu nae wakati mtu ni GOLD DIGGER binadamu bhana. Mwanamke pekee ambaye trends zake over 90% ni kutiwa tu wanaume alaf hapo bado ana binti wa kike
  5. The Undisputed

    List ya Wasanii 10 bora kwa sasa Tanzania

    Burna boy ndiye msanii namba 1 Africa kwa ndani ya hii miaka ya karibuni, ina maana ngoma zake zinapigwa sana Africa na viunga vyake??????? Umeweka List yako alaf unaziita "Hizo takwimu ni kutokana na performance" yaani list imegeuka kuwa takwimu 😂 😂 😂
  6. The Undisputed

    Hii tabia ya mashabiki wa WCB inanikera sana

    Kwa hiyo WCB videos zao zina production mbovu kuliko wengineo alaf bado tuzo za kimataifa na matamasha mbalimbali wana opt kwa wenye kazi mbovu 😂 😂 😂 😂.
  7. The Undisputed

    D voice ndio msanii aliyefeli kuliko wasanii wote waliowahi kutambulishwa na WCB

    Mbona hamzungumzii harmonize alivyokimbizwa na D voice kwenye Swahili Kid vs Visit Bongo??????? Kwenye platforms km Boomplay, Youtube, Apple music, Audiomack album ya Swahili Kid iliongoza kwa streams & views na pia kushika chart za juu kuliko msanii yyte aliyeachia ngoma/album kwa wakati huo...
  8. The Undisputed

    Kuna uwezekano Aubin Kramo hajui kuwa jina lake limeondolewa kwenye wachezaji wa Simba

    Sidhani kama hupo sahihi ndugu, Aubin Kramo kama muajiriwa wa Simba na Simba akiwa kama muajiri, pande zote mbili zina haki ya kujua na kutumiza makubaliano waliyoingia kimkataba. Hivyo basi Aubin anajua fikra jina lake kuondelewa kwa msimu huu katika mashindano yote kwa vile Simba hawawez...
  9. The Undisputed

    Nandy aendelea kumnyoosha Diamond Platinumz

    Trending ni tofauti na mauzo, ni vitu tofauti japokuwa trending ina chagiza pia mauzo ila ni vitu tofauti. Ingekuwa trending ina zaa overall basi Dullah Makabila angekuwa miongoni mwa wasanii 5 wanaouza zaidi kazi zake. Daah ina trend youtube (Tz) na audiomack (Tz) ikiwa namba 1 ila Mapoz ipo...
  10. The Undisputed

    Nandy aendelea kumnyoosha Diamond Platinumz

    Hukuelewa, Diamond alipost streams, views and monthly listerners za digital platforms zake za kila mwezi huku yy akiongoza. Na gape likikuwa kubwa sana kati ya mtu wa kwanza na anayefuatia. Diamond hakupost trending
  11. The Undisputed

    Nandy aendelea kumnyoosha Diamond Platinumz

    Nyie mmejitoa sio na International collabo 😂 😂 ambayo ina hit kondegang hq pekee yake. Mwaka jana D voice kawapa za uso album ipo kapuni, mwaka juzi napo Mbosso Khan Ep ikawapa tena za uso. Ss mmebaki kujipa ukupe msafiri na kiki za watu
  12. The Undisputed

    Diamond awataka Wapinzani wake kwenye Muziki waongeze Juhudi

    Em taja MTV EMA aliyochukua Rayvanny, speaking of Rayvanny hizo ni efforts za Diamond pasipo Diamond Ray asingekuwa hapo. Ukitaka kujua International shows zake ww tembelea IG page ya Diamond huwa anapost then utaleta majibu kuwa zile shows ni International au za muzikimnene
  13. The Undisputed

    Diamond awataka Wapinzani wake kwenye Muziki waongeze Juhudi

    Em tuambie Rayvanny alichukua MTV EMA mwaka gani na kipengele kp.... mambo mengine kwepeni aibu ndogo ndogo
  14. The Undisputed

    Diamond awataka Wapinzani wake kwenye Muziki waongeze Juhudi

    Kwa hiyo ile MTV EMA ulichukua ww mkuu???? Au zile stadium shows za kimataifa huwa unafanya ww kiongozi????? Au huko sio international ni mbwinde
Back
Top Bottom