Kuna mambo huwezi kuyaelewa mpaka uwe umeshiriki. Kuna wakati katika maisha niliwahi kutoka na mke wa mtu, yule mwanamke baada ya muda fulani akawa hana hamu tena na mume wake! Na akawa ana mizozo ya hapa na pale, na akawa naniambia hana hamu tena na mumewe na hakumbuki mara ya mwisho kumpa...
Ndugu bidhaa ya miti thamani yake huanza ndani ya miaka 10 ya kupandwa kwake. Ni ufinyu wa mawazo kuwaza miti hutumika kwa mbao pekee. However ukiuza miti ya miaka 40 au 50 thamani yake haifanani na ukiuza miti ya miaka 10 au 20. Nadhani tuishi humo
Usihuzunike mkuu, elewa kuwa nyakati ngumu hazidumu. Mimi pia nilipitia hiko kipindi, ilikuwa ni ngumu kukubali lakini nilizoea na maisha yanaendelea. Najikuta nina amani ya moyo sana kwasasa. Vumilia, tafuta fursa za kipato, pambana na maisha furaha kuna siku itakuja tu. Wanawake siyo ndugu...
Ina miaka hiyo niliyosema, nilipanda eneo ambalo liliingia maji baadae kwahiyo ipo miti ambayo iliathirika na maji katika ukuaji lakini ipo ambayo ilikuwa vizuri. Mitiki huwa haipendi maji mengi. Mingi iliyokua vizuri haikupitiwa na maji sana. Miti yote hiyo ina miaka si chini ya 19
Hiyo nilipanda mimi mwaka 2007 nikiwa kidato cha tano. Na sasa hv nina miaka 38 wajukuu gani unawazungumzia. Na kwa taarifa yako hiyo nitapata pesa nzuri tu ya kukidhi mahitaji yangu. Uvivu tu wa kuogopa kujaribu
Kwasababu ipo shambani na ukubwa ni tofauti tofauti, nashauri tutembelee shamba tuifanyie tathmini pamoja nachoamini hatutashindwana. Kwa kwaida mtiki mmoja uliokuwa mkubwa kabisa, hufika bei mpaka 300,000 ila kwa ya kwetu sisi bei itakuwa chini kidogo kulikangana na ukubwa wake. Ingawa ni...
Habari za wakati huu.
Picha nilizoweka hapo ni mitiki yangu ipo kwenye shamba langu jirani na kijiji cha Kibindu wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Natafuta mteja anaefanya shughuli za mazao ya miti au mfanyabiashara wa mazao hayo.
Miti yote ina umri sawa ilipandwa mwaka 2007, ina miaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.