Ndugu wana jukwaa napenda kueleza kwa ufupi sana kusikitishwa kwangu na mfumo mbovu wa secretariat ya ajira yaani Ajira Portal.
Ajira Portal wameweka utaratibu kwamba ili u qualify kuomba kazi ni lazima walau profile yako ya Ajira Portal, wenyewe wanaita dashboard ifikishe walau 70% na ili...
Duh!
Umemaliza mkuu! Yericko ni muda mwingi tu anaonekana kutumikia CCM, inahitaji umakini sana kumtambua. Na inaonekana pia anaitumikia idara ya usalama wa taifa ambayo for so long imekuwa ikituhumiwa kuacha majukumu yake ya asili ya kuanzishwa kwake na kuanza kuitumikia CCM. Yericko anavikwa...
Sidhani kama hiyo vita itatokea, Marekani na Iran wanajitahidi sana kuepusha kuenea kwa mzozo wa Mashariki ya kati. Miongoni mwa hatua ni pamoja na Marekani kuishurutisha Israel isitishe uvamizi wake wa Gaza mara moja na iondoe vikosi vyake huko Gaza na tumeona hilo likitekelezwa.
Lakini hatua...
Habari wanamichezo hususani wapenda michezo ya kubahatisha.
Kuna changamoto imetokea Supabets nimeshindwa ku withdraw pesa nilizoshinda siku ya pili sasa. Nimefuatilia wameniambia tatizo lipo kwa takribani wiki sasa. Wameshindwa kulitatua mpaka sasa. Napenda kuwashauri wanamichezo hususani...
Nakusikitia kuwa, aidha umesoma tu kichwa cha habari lakini kilichomo hujakisoma, au umesoma ukaishia kati. Laiti kama ungeisoma kama nilivyoisoma mimi usingeleta ushabiki hapa, usingeweka hizo shombo ulizoandika hapa.
Wanachofanya ni kukata mipira ya wateja waliounganishwa tayari na kuelekeza maji kwenye ma tank yao, halafu wakishamaliza hiyo shughuri wanarejesha kwa kuunganisha mpira. Inapotokea wameshindwa kuunganisha huacha mipira ikitiririsha maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kutoa taarifa za kuhujumiwa kwa DAWASCO maeneo ya Mwananyamala Mchangani, mtaa wa Juhudi.
Mimi ni raia mwema nimeamua kutoa taarifa kwa mamlaka zinazohusika kuhusu kijana maarufu kwa jina la Mudi Chavi ambaye kwa muda mrefu sasa amekuwa akijishughurisha na uuzaji maji maeneo ya...
Nimegundua kitu, mnaosoma kwa app hampati mtiririko mzuri!! Hii habari nimeikopi kama ilivyo nikaishea kwa kutumia Mac, so ukija kwenye app kila sehemu ambayo kulikuwa na picha na maelezo ya picha yanatokea kama muendelezo wa stori na kuchanganya wasomaji. Anyway ni mambo ya technolojia hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.