Recent content by the ultimatum

  1. the ultimatum

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mchiriku: Hisani Musical Club (Gari Kubwa)

    Walishindwa watu kweli wazazi wa majumbani Wenye kutoa ukali na radhi za midomoni Utakuwa wewe nani utafanya jambo gani. Nawaeleza visonoko wasiopenda hisani Nawaeleza visonoko wasiopenda hisani Namimi nawaeleza hisani inaendelea...
  2. the ultimatum

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nautafut wimbo wa Pasha wenye maneno yafuatayo:"Thamani ya kitu ajuaye mwenye chake"

    Wimbo unaitwa Namuimbia 🔥🔥🔥
  3. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Vyeti vyote nime appload, vipo ninavyo hata hapa nilipo
  4. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Namba ya NIDA nimeweka vizuri kabisa
  5. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto za mfumo wa Ajira Portal zinachochea Matapeli kuigeuza fursa!

    Ndugu wana jukwaa napenda kueleza kwa ufupi sana kusikitishwa kwangu na mfumo mbovu wa secretariat ya ajira yaani Ajira Portal. Ajira Portal wameweka utaratibu kwamba ili u qualify kuomba kazi ni lazima walau profile yako ya Ajira Portal, wenyewe wanaita dashboard ifikishe walau 70% na ili...
  6. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

    Duh! Umemaliza mkuu! Yericko ni muda mwingi tu anaonekana kutumikia CCM, inahitaji umakini sana kumtambua. Na inaonekana pia anaitumikia idara ya usalama wa taifa ambayo for so long imekuwa ikituhumiwa kuacha majukumu yake ya asili ya kuanzishwa kwake na kuanza kuitumikia CCM. Yericko anavikwa...
  7. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Israel, Palestine Gaza na Iran

    Sidhani kama hiyo vita itatokea, Marekani na Iran wanajitahidi sana kuepusha kuenea kwa mzozo wa Mashariki ya kati. Miongoni mwa hatua ni pamoja na Marekani kuishurutisha Israel isitishe uvamizi wake wa Gaza mara moja na iondoe vikosi vyake huko Gaza na tumeona hilo likitekelezwa. Lakini hatua...
  8. the ultimatum

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Supabets Tanzania (Una deposit tu, ku withdraw haiwezekani kwa takribani wiki sasa

    Habari wanamichezo hususani wapenda michezo ya kubahatisha. Kuna changamoto imetokea Supabets nimeshindwa ku withdraw pesa nilizoshinda siku ya pili sasa. Nimefuatilia wameniambia tatizo lipo kwa takribani wiki sasa. Wameshindwa kulitatua mpaka sasa. Napenda kuwashauri wanamichezo hususani...
  9. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania TABORA: Mtu mmoja afariki baada ya kupokonywa hirizi zake

    Amepigwa huyo hakuna cha hirizi wala nini
  10. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Kusitishwa Mradi wa Bagamoyo SEZ kumedhihirisha udhaifu wa Rais Magufuli kwenye Uchumi na Diplomasia

    Nakusikitia kuwa, aidha umesoma tu kichwa cha habari lakini kilichomo hujakisoma, au umesoma ukaishia kati. Laiti kama ungeisoma kama nilivyoisoma mimi usingeleta ushabiki hapa, usingeweka hizo shombo ulizoandika hapa.
  11. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Ben Saanane: Ninatishwa kuuawa kwa kuikosoa Serikali

    Ukombozi umefika na saa hii wote waliokuhukumu ni lazima walipe. Popote pale ulipo mungu akusimamie Ben Sent using Jamii Forums mobile app
  12. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Kuhujumiwa kwa DAWASCO

    Na hata nilichoandika ni cha kipuuzi pia! Sent using Jamii Forums mobile app
  13. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Kuhujumiwa kwa DAWASCO

    Wanachofanya ni kukata mipira ya wateja waliounganishwa tayari na kuelekeza maji kwenye ma tank yao, halafu wakishamaliza hiyo shughuri wanarejesha kwa kuunganisha mpira. Inapotokea wameshindwa kuunganisha huacha mipira ikitiririsha maji Sent using Jamii Forums mobile app
  14. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Kuhujumiwa kwa DAWASCO

    Napenda kutoa taarifa za kuhujumiwa kwa DAWASCO maeneo ya Mwananyamala Mchangani, mtaa wa Juhudi. Mimi ni raia mwema nimeamua kutoa taarifa kwa mamlaka zinazohusika kuhusu kijana maarufu kwa jina la Mudi Chavi ambaye kwa muda mrefu sasa amekuwa akijishughurisha na uuzaji maji maeneo ya...
  15. the ultimatum

    JamiiForums Tanzania Injinia Alphonse Augustino Cherehani: Asimulia vipi alivyopatikana hai siku 3 baada ya kuzama MV Nyerere?

    Nimegundua kitu, mnaosoma kwa app hampati mtiririko mzuri!! Hii habari nimeikopi kama ilivyo nikaishea kwa kutumia Mac, so ukija kwenye app kila sehemu ambayo kulikuwa na picha na maelezo ya picha yanatokea kama muendelezo wa stori na kuchanganya wasomaji. Anyway ni mambo ya technolojia hayo...
Back
Top Bottom