Aviator ni mbaya Sana na NI nzuri Sana endapo ikiwa kwenye bahati yako mwanzo mm aviator ilishawahi kunipa loss yah 2.5m sikuamini kilichotokea mpaka nlikata tamaa lakini badae nikajifunza trending ya mchezo na nlimanage kupata faida ya 8.3m.
Sehemu ya kwanza
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019, kipindi hicho niko chuo mkoa wa Mbeya katika harakati zangu za hapa na pale. Mimi nilikuwa ni mtu wa kwenda sana klabu kupata mbili tatu za hapa na pale, sasa siku moja nikaenda klabu moja maarufu sasa jijini Mbeya
Katika hapa na pale, si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.