Recent content by The Technologist

  1. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Kaburu Botha aliwahi kusema Utafika muda Waafrika wataona ni kheri Babu zao wasingepigania Uhuru lakini watakuwa Wameshachelewa!

    Kimsingi wanachopitia, mfano, Wamarekani weusi ndicho tungekipitia ikiwa bado wangekuwa wanashikilia ardhi ya bara hili, maendeleo yangekuwepo ila ni kwa manufaa yao na si vinginevyo. Na usije ukadhani kuna kitu chochote wanakusaidia hao wazungu, hasara ya wao kuwepo Afrika ni kubwa maradufu...
  2. The Technologist

    JamiiForums Tanzania wanasiasa wengi ni mabilionea wana ukwasi ambao hata Bakhressa na Mo wafanye biashara miaka miamoja hawawezi kuwafikia

    Sawa, ukitaka kujua utajiri halisi, hizo pesa ziingizwe kwenye kitega uchumi chochote chenye mzunguko wa kimapato, ndio utaelewa... Kimsingi muheshimu sana mtu yeyote ambaye utajiri wake unatokana na biashara... Biashara ni ngumu sana hususani kwa Afrika, hata kama una mtaji wa kutosha...
  3. The Technologist

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi nyie wanadamu kwanini hampendi kuona watu wakifurahi eti?

    Ni kwamba wewe ulichelewa kumgundua huyo mtu kuwa ni adui yako, kama hahusiki kukusababishia tatizo ulilokuwa nalo, bas anamfahamu mhusika au chanzo. Katika watu usipende kuwaamini ni watu wanaojionyesha wema sana, watu wa dini. Mungu mfuate wewe kama wewe, ukiwa peke yako, masuala ya kumfuata...
  4. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Masheikh mliosoma dini na kupata nyadhifa katika jamii acheni tabia ya kuchanganya dini na uganga/uchawi

    Mimi ni Mkristo, lakini wewe mleta mada unawafahamu vizuri waKristo unawafahamu vizuri kabisa? Na viongozi wao unawafahamu vizuri? Ungewafahamu basi ungewajumuisha kwenye bandiko lako...! Na waKristo ni wabaya kuliko waIslam, usiniulize kwanini...
  5. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Ni kwamba unapotosha watu, na nikuache na mtazamo wako kuwa mimi mshenzi, mtoto wa single maza nk Lakini hakuna uhusiano wa nyoka na kuwaka madini kwenye shaft alilofikia huyo nyoka labda kama mtu wa mambo ya kiroho alishughulikia (duara) husika... Pia hatufahamiani kwa hiyo jikite kwenye mada...
  6. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Utafiti gani? Haya kwakuwa wewe una urafiki na hayo manyoka, naamini yameshakutembelea huko mgodini (kama ulivyojielezea) mara nyingi sana, sasa tuambie una bilioni ngapi kwenye account yako? Next time uache kubeba maimani yasiyokuwa na kichwa wala miguu unless kuna mtu wa mambo ya kiroho...
  7. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Kwamba sijui dhahabu inafananaje? Kijana kwa hiyo tayari kichwani mwako una picha yangu?
  8. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Wachimbaji wana imani nyingi zisizo na maana Mfano, 1.usipige miluzi mgodini 2.Usifunike beleshi Na nyingune nyingi, nilichojibu katika post yangu ya kwanza kumjibu mleta mada, ukirejea jibu langu utaelewa nimeelezea vizuri kuwa nyoka wapo wa kualikwa, kutokana na maagano yako...
  9. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Nani mshenzi? Na wachimbaji gani unaowazungumzia? Hao wanaozurura kila pahala? Na unaelewa mambo ya kiroho wewe? Au umeanzisha mada kuonyesha jinsi unaamini vitu usivyoweza kuvielezea? Sasa nakuuliza elezea uhusiano uliopo baina ya huyo nyoka na madini, na nikuelewe, sio kuleta bla bla...
  10. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Mhhh, umesemaje eti mleta mada? Kwamba nyoka asiuwawe? Wewe ulikubaliana wapi na huyo nyoka kuwa atakuja au ulimpa lini mualiko kuwa atembelee shimo lako? Nachotaka kusema hapa ni kuwa unapotosha watu... Nyoka anaweza akawa nyoka wa kawaida na anaweza akawa wa kiroho, na nyoka huyo ikiwa...
  11. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Desturi za wasukuma

    Wasukuma ni watu wema sana...
  12. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Mimi sijakwambia ninahitaji kukusaidia private, msaada wangu ni maelezo ambayo tayari nimeshakupa, sina maana eti unitafute, hapana, hapana kabisa. Hata hivyo nashukuru kwa ushirikiano wako, umethibitisha jambo kwangu. Ufanikiwe...
  13. The Technologist

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Asante, =>Usiku kuna muda utashtuka usingizini na huelewi kwanini umeshtuka au kwa vyovyote tu usingizi wako hauko sawa. =>Akili kuchanganya ukiwa huna pesa, na umesema unaweza kumpiga hata paka wako mateke, Unafahamu kuwa wafanyakazi wako huwa unawatreat vipi ukiwa katika hali hiyo? Na...
  14. The Technologist

    JamiiForums Tanzania waganga wa jadi huzikwa kwa kukarishwa

    Nimeona mtu fulani anawazungumzia waganga kwa kuwahukumu baada ya kifo, niseme wazi nimesikitishwa sana na hilo... Hivi anajua hao waganga wamesaidia watu wangapi leo ambao wangekuwa mashoga, wasagaji, makahaba, wahalifu, matasa, misukule (kwa kulogwa) wakawasaidia, wakaepukana na hayo madhila...
Back
Top Bottom