Recent content by The Tai

  1. The Tai

    JamiiForums Tanzania SAFARI YA UZAZI: Mwongozo wa Afya ya Mama na Mtoto Katika Hatua Zote za Mimba na Baada ya Kujifungua.”*

    HIKI SI TU KITABU, NI ZAWADI YA AFYA KWA KIZAZI CHAKO Katika dunia inayokumbwa na changamoto za kiafya kila uchao, maarifa sahihi si hiyari tena ni hitaji la lazima. Tunapozungumzia uzazi, hatuzungumzii tu tukio la maisha, bali tunazungumzia mwanzo wa kizazi kipya mwanzo wa matumaini...
  2. The Tai

    JamiiForums Tanzania Mchanga wa kutengeneza maabara

    JE INAWEZEKANA? Mimi ni mmoja kati ya watu wanaoishi maisha ya upweke kwa muda mrefu hivyo starehe yangu kubwa baada ya shughuli zangu za kila siku ama ninapopata nafasi ya kumpumzika ni kusoma vitabu. Hata kabla ya kuandika ninachotaka kuandika siku ya leo mapajani mwangu nilikuwa nimeshika...
  3. The Tai

    JamiiForums Tanzania Tengeneza Tsh 1.5m kwa mtaji wa Tsh 500,000 kwa siku 100

    Sio ya nadharia mzee nimwfanya hii kitu mimi mwenyewe
  4. The Tai

    JamiiForums Tanzania Tengeneza Tsh 1.5m kwa mtaji wa Tsh 500,000 kwa siku 100

    PESA NJE YA AJIRA. Wapo watu wengi ambao wanashindwa kufanya biashara japokuwa wana mitaji ya kutosha na hii inatokana na sababu ya kwamba wanakuwa wametingwa na ajira zao.Pale wanapojaribu kufanya biashara mara nyingi huangukia pua na kupata hasara kwa sababu ya biashara zao kukosa usimamizi wa...
  5. The Tai

    JamiiForums Tanzania Utengenezaji wa sabuni za maji

    JIFUNZE KUTENGENEZA SABUNI ZA MAJI Katika harakati zetu za utafutaji wa pesa leo ninaomba tuzungumzie kuhusu utengenezaji wa sabuni.Sabuni hizi unaweza kuzitumia katika kufulia,kuogea,kuoshea vyombo na kusafishia chooni.Sabuni hizi unaweza kutumia kwa matumizi yako ya nyumbani au kuuza maeneo...
  6. The Tai

    JamiiForums Tanzania Uza bidhaa nchini Marekani ukiwa Tanzania

    Hakuna biashara isiyo na hasara kaka ndo maana nimeandika apo chini do your own research
  7. The Tai

    JamiiForums Tanzania Uza bidhaa nchini Marekani ukiwa Tanzania

    IFAHAMU BIASHARA YA AMAZON FBA. Fulfilment By Amazon (FBA). 1.AMAZON ni nini? AMAZON ni kampuni inayohihusisha na uuzaji wa bidhaa kwa njia ya mtandao yaani mteja atachagua bidhaa anayoiitaji kisha atalipia baada ya malipo AMAZON watamletea mteja bidhaa hiyo mpaka mahali alipo nchi...
Back
Top Bottom