Frankly speaking, Zitto anamchango wake kwenye Chadema kwa muda aliokuwepo hilo halina ubishi, kama ilivyo hulka kwamba unawezatenda mema elfu moja lakini uka tenda ovu moja ikafuta yote mazuri uliyofanya. Baya zaidi ni usaliti ndani ya chama, kuna mambo ya kusamehewa kwenye siasa lakini sio...
Jamani tuacheni ubaguzi, angalieni kenya wameunganisha nguvu wakafanikiwa sana! sasa tukiaanza kubaguana sasa hatutafika mahala. wananchi wapeni ukawa nchi ndio kauli mbiu wadau!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.