Recent content by The Remaining Soldier

  1. T

    UVCCM wamuonya Anthony Diallo

    Haya mbivu na mbichi zote hadharani , watu walisema mgonjwa wa bipolar disorder mkapinga mataga sasa yametoka hukohuko ccm , milembeism .
  2. T

    Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

    Sasa si akubali katiba mpya kabla ya hizo chokochoko ? Au anazisubiri zianze?
  3. T

    Rose Mayemba, Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Njombe akamatwa na kuhojiwa na Jeshi la Polisi. Aachiwa kwa dhamana

    Hivi huu upuuzi wa kukamata watu hovyo bado unaendelea awamu hii? Tawala nafsi usitawale miili .
  4. T

    Erasto Mfugale: Kilichotokea kazini sisi hatujui

    Maswahiba wa Ibilisi mwendazake wanamfuata alianza Songolo kafuata huyu .
  5. T

    Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

    Chawa wa mwendazake mbona mnahagaika sana kama kuku anataka kutaga .
  6. T

    Mdude Nyangali aachiwe mara moja

    Yaani nchi nzima wanajua kale kabinti ka arusha kalienda kumuwekea dawa za kulevya , kesi feki za kubambikizwa naunga mkono hoja aachiwe mara moja .
  7. T

    Usithubutu kujivunia Cheo cha Kuteuliwa, yasije kukukuta ya Chalamila

    Wakati anatumbuliwa lori la mizigo yake lilikuwa Nzega halijafika hata Shinyanga amegeuza nalo .
  8. T

    Unabii wa Godbless Lema kwa Ole Sabaya umetimia?

    Na lile alilosema akitumaliza sisi wapinzani atawarudia nyinyi ,rejea kilichompata Nape , January Makamba , Membe .
  9. T

    Mwanza: Yaliyojiri kwenye Ziara ya Rais Samia Suluhu. Azindua Kiwanda cha Kusafisha dhahabu na Jengo la (BoT)

    Atazindua viwanda vya ukweli au vile vya kisanii vya marehemu mwendazake .
  10. T

    Bajeti 2021/22: Wadau tunakataa kodi ya Majengo kulipwa kwa LUKU

    Mwigulu katokota sio kuchemka huko , watu walisema huyo kafoji kihiyo huyo sasa huu ndio uthibitisho .
  11. T

    Tulikuwa wapi kumsaidia Mdude mpaka tunasubiri siku ya hukumu? Huu ni uzembe mkubwa

    Kumuwekea wanasheria sio msaada? Mataga bana toka Jiwe akutane na mkono wa bwana wamechanganyikiwa kweli mara waote ndoto za mchana , usiku .
  12. T

    Rais Samia anafanya kazi kwa weledi sioni upinzani kama una tija kwa sasa

    Hata siku mia hajafikisha unasifia ? Unajua huko mbeleni ? Umetumia tathmini ipi formative au summertive evaluation ?
Back
Top Bottom