imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 61,236
- 98,403
Nasikia wamemfichia kamba zote,huo sio uungwana wamuachie tu si alisema vibaka wauwawe!Vijana wetu ni imara sana, hizo ni ndoto
Nasikia wamemfichia kamba zote,huo sio uungwana wamuachie tu si alisema vibaka wauwawe!Vijana wetu ni imara sana, hizo ni ndoto
Tulia. Kunywa maji upumuzike. Mwenye nguvu na huruma yupo na anawalipiza watesi na waonevu. Tazama wanavyolipa mmoja baada ya mwingine. Kwa hiyo Mdude atakuwa huru na hai.Naomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya Ccm wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.
Vibaka kama wale wa bavichaNasikia wamemfichia kamba zote,huo sio uungwana wamuachie tu si alisema vibaka wauwawe!
Exactly, kumbe Chalamila ndio muhusika mkuu wakumbambikia kesi uyo KijanaNaomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya Ccm wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.
UmefokaNaomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya Ccm wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.
Yeah ni PushaUna uhakika??
Lumumba ipi?Wewe ni biriani iliyochacha huko lumumba
Hakukamatwa na drugs! Yule mzoga pombe na chuki zake za kiseng€ alitoa maelekezo mdude ashughulikiwe.A man is Serial ilicit drug Dealer unamuachiaje mtu aliyekamatwa na Contraband?
Hawa ccm ni matahira na wana roho za kiibilisi sana, halafu utawasikia wakihubiri amani, umoja upendo na mshikamano.Mbinu za kishamba sana !
Ikaacha kupambana na wezi na majambazi wa fedha na mali za umma waliokuwa wakiongozwa na mtu mzima mzee aliyekosa maadili, nidhamu na hata aibu marehemu magu fool ikaanza kuwaframe kesi kina mdude na watanazania wazalendo waliokemea wahuni wa ccm.Kwa Muda mrefu serikali inapambana na wauza Dawa za kulevya.
Maisha magumu unayo wewe unayekubali kunajisiwa na vidume kama sisiUna maisha magumu sana dada
A man is Serial ilicit drug Dealer unamuachiaje mtu aliyekamatwa na Contraband?
Basi Pusha
Gram 0.01 inatosha kumlevya mtuu.
Basi ichukueni nchi nzima muipeleke mahakamani ikatoe ushahidiYaani nchi nzima wanajua kale kabinti ka arusha kalienda kumuwekea dawa za kulevya , kesi feki za kubambikizwa naunga mkono hoja aachiwe mara moja .
Naomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya CCM wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.
Mkuu kama unaweza ruhusu Mtoto wako atukane vile Basi mkuu Familia yako kazi na iendelee. Sijui hayo mambo ya madawa. Mahakama itaamua Lakini kwangu mimi jamaa yako hana ustaarabu hata wa kuitwa binadamu. Lakini sishangahi, mana Ni Kama lugha ya wanachama wengi. Hapa mtu akiwa na hoja tofauti tu atapokea tusi au kupewa chama. Hakuna tena kusimamia Ukweli wa hoja.
Bahati mbaya zaidi ukiamua kusoma maujumbe ya vijana wanaojihita Wapinzani na wanademokrasia, unapata ukakasi na kichefuchefu. Ni wabaguzi. Wazandiki na watukanaji na waleta mada sisizo watambulisha wao na chama Chao Bali majungu.
Mdude alipaswa awekwe chini na chama chake, apuliziwe dawa mdomoni na kichwani bangi iondoke akitumkie chama. Mtaani kwako mtu mwenye matusi Yale, hupokea kichapo mpaka anakuwa mlokole.
Mwenyezi Mungu, Mungu wa Israel Isaka na Musa atatenda sawa sawa na mapenzi yake. Yote tumemwachia Yeye Muumba wa Mbingu na Nchi. Tenda Haki Bwana wa Majeshi.Naomba mahakama zimwachie mala moja Mdude Nyangali
Hatutaki hapa kesi uchwara tena kwenye taifa letu
Kuna wanaosema Rais aingilie kati kesi hii Mimi nakataa Mdude hana kesi yeyote ya kujibu ni uonevu tu na chuki za Magufuli kwa wapinzani wake.
Halafu mnataka tuwe na uzalendo, uzalendo gani mnataka bila kutenda haki.
Mdude Nyangali aachiwe kwanza halafu waliombabikiza kesi akiwemo Chalamila waombe radhi na kuchukuliwa hatua Kali za kisheria.
Nchi hii sio ya CCM wala Rais aliyepo madarakani.
Hukumu yake itekelezwe halaka kama alitenda kosa kwanini ushahidi haukamiliki miaka 2 sasa?
Resources zinazopotea kwenye kesi uchwara ni kodi ya watanzania.
Baada ya haki ndio uzalendo utafuata.