Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Sometime ni VICHEKESHOKazi ya uRais aliiweza sn JK hawa wengine hawaiwezi hata kdg
Aliitwa Rais dhaaiiifu kuliko
Alitwa Vasco da Gama
Leo ni Shujaa tena. Upuuzi
Sometime ni VICHEKESHOKazi ya uRais aliiweza sn JK hawa wengine hawaiwezi hata kdg
Niko serious sanaUnajifariji?
The worst ipiMkuu, mimi binafsi toka siku ya kwanza sikuwahi kuamini kuwa mama will be any different from her predecessor kwa sababu yeye pia ni zao la uchaguzi wa 2020. In those 100 days of her presidency, she was giving just a palliative care, now we're all in for it. Let's wait for the worst
Hapa kiss ni lipi?Yaani tunataka kweli kurudi kule kule?
----
Update: 1
JamiiForums imezungumza na RPC Mkoa wa Njombe na amethibitisha kuwa Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Njombe Rose Mayemba amekamatwa kwa Mahojiano zaidi baada ya kuweka ujumbe kwenye mtandao wa kijamii uliomhusisha Rais. RPC amesema kuwa kosa lake lina dhamana na ataachiwa nje ya dhamana.
Update: 2
Rose Mayemba amepata dhamana baada ya kutoa maelezo kwa muda wa saa mbili na kutakiwa kuripoti Ofisi ya RCO Njombe siku ya Jumatatu saa 2:00.
Ujumbe unaodaiwa kumuingiza matatani Rose Mayemba
View attachment 1845997
I believe ulimaanisha"kosa" badala ya"kiss"Hapa kiss ni lipi?
Chadema hawa walioshindwa mpaka sasa kusimama na kudai justice for TL (Lissu) mbele ya JPM mpaka sasa..
Chadema hawa walioshindwa mpaka leo kushinikiza wapi alipo Ben Saanane na hatua zichukuliwe kwa waliompoteza au kumuua.
Chadema hawa ambao mpaka sasa hawajui wachukue hatua gani juu ya wabunge haramu walioko bungeni..
Chadema hawa walioshindwa kushinikiza chama chao kutoa bank report yao inayoonyesha hawapokei ruzuku kutoka serikalini kutokana na uwepo wa wabunge wao bandia..
Kifupi CDM bado ni wachanga sana kwenye siasa na kumejaa utoto mwingi saaana...hawapo tayari kupewa dola kama chama mbadala..
Umeandika Nini Sasa? Wala hujaelewekaaibu kubwa sana katika jamii kwa mwanamke kujifuza na kufanya uhuni, harakati zisizo za msingi kwa mwanamke ni uhuni.
Ndy mkuuI believe ulimaanisha"kosa" badala ya"kiss"
wewe unamuona mama huyo kama anadhiki?dhiki za huyo mama zimeletwa na ccm , umasikini si jambo la kujivunia