Recent content by The redemeer

  1. The redemeer

    UTALII WA KILIMO: Hiki ni kitu nilichokishuhudia wakati natafuta fursa za Kilimo Mkoa wa Iringa

    Wangejua wangejengaje sasa. Madini yote nchini sio mali yetu sisi ni wasimamizi tu wenye mali ni wazungu na wachina angekuwepo Nyerere labda
  2. The redemeer

    GE2025 Watibeli tunaiomba Serikali kumuachia Tundu Lissu Septemba kabla ya Septemba 7

    Watamuachiaje wakati anatishia tumbo lao,si unajua waafrika bado wapo kwenye stage ya ukuaji. Mambo ya domokrasia wapi na wapi. Mtu ana vimada 20 atakubali vipi atolewe nje ya mfumo. Hao vimada atawauhudumia nani.
  3. The redemeer

    Jamii ya Wakurya ndo jamii duni sana ambayo serikali inabidi kuitazama

    Kubadili mtazamo wa jamii ni jambo la polepole sana. Kadri wanavyochangamana na jamii zingine uendelea kubadilika
  4. The redemeer

    Jamii ya Wakurya ndo jamii duni sana ambayo serikali inabidi kuitazama

    Elimu,dini,na police kanda maalumu vimewalazimisha kustaaribika kidogo
  5. The redemeer

    Elon Musk awa kinara wa kura za maoni za mtu aneyechukiwa zaidi Marekani

    Anaishi ndoto zake na haishi utajiri wake, yaani kwke utajiri sio ishu big deal bali anachojali ni kutimiza tu ndoto zake. Aishi kwa kufuata matakwa ya jamii inaitwa matrix kwa sababu aendeshwi na nje bali ujiendesha tokea ndani mwake
  6. The redemeer

    Elon Musk awa kinara wa kura za maoni za mtu aneyechukiwa zaidi Marekani

    Watu kama wale huwa wanaishi kwenye upeo mwingine zaidi ya watu wa kawaida. Ukiwachukia wewe ndie utakaeumia wanaitwa independent person na sio dependent people. Yaani wanaishi kwa akili zao na sio kwa hisia zao. Hawapo kwenye level za maumivu. Nadharia za kuumia zipo kwa level ya masikini
  7. The redemeer

    GE2025 Wadaiwa kukutwa na fedha walizotaka kuzigawa kwa Wajumbe Jimbo la Ulanga - Morogoro, TAKUKURU yaingilia kati

    Ni wakati sahihi wa kutafuna hela wanaachaje sasa hela zisizo na kazi
  8. The redemeer

    GE2025 Wadaiwa kukutwa na fedha walizotaka kuzigawa kwa Wajumbe Jimbo la Ulanga - Morogoro, TAKUKURU yaingilia kati

    Amri moja tu toka juu wataachiwa. Zaidi ya maigizo hawajawahi kuwa seriously
  9. The redemeer

    Uzoefu wangu kwenye mali na vitu vya minada: Jifunze toka kwangu ujiokoe na mengi

    Mfano mtu kashindwa kulipa kodi ya kuingiza gari then linapigwa mnada
  10. The redemeer

    UTALII WA KILIMO: Hiki ni kitu nilichokishuhudia wakati natafuta fursa za Kilimo Mkoa wa Iringa

    Shangaa wanaolima vipi waliojenga nyumba kwenye dhahabu ujaona watz kibao wakihamishwa maeneo yao waliyojenga kupisha uchimbaji
Back
Top Bottom