Recent content by The perfect guy

  1. The perfect guy

    IGP Wambura awaonya vikali wanaotaka kuandamana, asema huo ni uhaini akitaka "Wakome" na Wasitishe matamshi yao ya Kichochezi...

    Mi nashauri tukianza maandamano wengine barabarani wengine Kwa ndugu na familia za mapolice hao ili kubalance equation.
  2. The perfect guy

    Luhaga Mpina: Nimepiga hesabu ya hasara kwenye ripoti ya CAG, ni zaidi ya Trilioni 30

    Kama Mpina anasema kweli basi hiyo report ya C.A.G ni batili
  3. The perfect guy

    Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

    Si hapo liambie hilo jarabu jeusi Serengeti shall never die,Kama ndo hivyo Kwa nini Zanzibar isiongoze kuwa kwenye top ten angalau kwenye eneo linalopendwa Africa
  4. The perfect guy

    Tuwe wakweli kwamba Nyerere alifanya vibaya kuua Uhuru wa Tanganyika na kugawa rasilimali za Watanganyika kwa Wazanzibari wasiotaka vyao kuguswa

    C eti asilimia 60,no Tanganyika na utalii Zanzibar hakuna mtalii ataenda kurisk maisha yake Kwa magaidi
  5. The perfect guy

    Ni halali Wazanzibari kufanya kazi za Watanganyika?

    Tumia elimu yako vizuri mbona huwa nakuona Kama mtu wa maana!ata Kama ni vyeo havitafutwi Kwa namna hiyo na nyeupe itabaki kuwa nyeupe tu na kinyume chake ni sahihi
  6. The perfect guy

    Zanzibar kuwa kitovu cha huduma za TEHAMA Afrika ya Mashariki

    Uchumi gani Zanzibar iliyonayo zaidi ya watu kushindia boflo na kuendelea kuwa watumwa wa kiarabu! Nyerere alifanya makosa sana eti tembo waungane na sungura na malisho yao yawe ya uzito sawa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. The perfect guy

    Ziara ya Rais kwenye nchi moja (US) kwa zaidi ya siku 5 haina tija. Muda mwingi wapo "idle" hotelini

    Ni kweli huyo Mashungi hopeless kabisa,hata ubalozi wa nyumba kumi hafai
  8. The perfect guy

    Ummy Mwalimu: MSD chini ya Rais Magufuli ilifanya vizuri kwa sheria hii hii ya manunuzi

    Huyu mwanamashungi hakuna kitu ni Kama spika ya mafisadi,tuna lirahisi la ovyo kabisa kuwahi kutokea lenye kiwango Cha uprofesa.
  9. The perfect guy

    Marekani kupeleka Ulaya Cubic meters 15 bil za gesi asilia kufidia ile waliyokuwa wananunua Urusi

    Kwani trump alipokuwa anataka kujenga ukuta mexico ilikuwa kwenye plan ya nchi??
  10. The perfect guy

    Kassim Gogo: Msukuma sio raia wa Tanzania, yeye na genge lake wanaandaa mtu wao kuwa rais 2025

    Wache wafu wazikane, walivyokwapua kura za wapinzani uchaguzi Mkuu uliopita walidhani watabaki salama?
  11. The perfect guy

    Kama si Muungano Zanzibar ingekuwa mbali sana

    Kwa mkataba upi ???fanyeni kazi wapuuzi nyinyi kazi kukaa vibarazani na kuanza kusema wapita njia na dini yenu ya kurithi na mapokea hiyo.
  12. The perfect guy

    Kumbe raia Afghanistan wanakimbia mifumo mikali ya dini Kiislamu ambayo ni kandamizi

    Kama ndo hivyo mbona wanazidiwa maarifa na hao wazungu hii ukijumuisha katika Sayansi na michezo hiyo dini yenu ya kikoloni imefikia hatua waafrika tuamke tuachane na huo utumwa.
  13. The perfect guy

    Kuani msibani na sherehe Kunavyochangia Kuenea kwa ugonjwa wa malaria

    Jamani sote tunajua malaria ni ugonjwa gani ?Moja ya jambo gumu na ambalo limeshindwa kufanyiwa utafiti na wasomi wetu ni hii kadhia ya kuhani msibani na sherehe mbali mbali Kama harusi ndo chanzo kikuu Cha kuenea huu ugonjwa wa malaria Barani Afrika kwa ujumla,samahani kwa mtakao ona kma...
Back
Top Bottom