Wakuu kwema ? Hope mko salama kabisa
Mimi Nina kisa changu ambacho kinanitesa saana tena sana kila nikikumbuka najitahidi kusahau baada ya mda Hali inarudi upyaa.
Nilikua na mpenzi wangu alikua anafanya kazi kampuni flani hivi.. Sasa mpenzi wangu alikua ni Mzuri sana meneja akawa anamtaka...
Serikali mpaka sasa zimebaki siku 4 tuu kufikia 9 dec Watanzania wenzangu tusiandamane maana sasa hivi vita ni kati ya TEC na serikali ya Tanzania, BAKWATA NA TEC hii vita vya udini ni mbaya sana
In God we Trust
Waziri Rizziwani kasema yupo tayari kuhojiwa na kamati kuu ya madili ajibu tuhuma za umiliki wa sheli za lake oil.. hii ina maana ya kuwa yeye siyo mmiliki? Na na hizo rumors zilitokea wapi na yeye akahusishwa na umiliki?
Pia kasema matendo ya viongozi wa serikali ndo yamepelekea maandamano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.