Naunga mkono hoja , imefikia mahala Ahmedy Ally anasifia hadi upumbavu ambao unaonekana wazi. Kila mchezaji anamkuza kwa ukubwa ambao sio wake ili kutetea kibarua chake cha usemaji bila kujua kwamba anaharibu timu kwa mikono yake, labda niwe mkweli sidhani kama kazi yake ni kusifia kila usajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.