Recent content by The Lonnie

  1. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Achaa uchuro mazee hakuna mtoto wa kudeka, umeombwa ushauri km mtu mzima do it uez shut
  2. The Lonnie

    Wanaolawiti watoto wahasiwe

    Hili wimbi la watu kulawiti watoto mbona limeanza kua kama fashion, saizi kila mtu anaona sifa kuonekana mitandaoni, mimi nashauri serikali ijaribu kufanya namna yoyote ili adhabu kali iwepo kukomesha hii tabia. Mfano mtu analawiti mtoto wa miezi sita! Duh hii mbaya sana serikali ifanye jambo...
  3. The Lonnie

    Kwanini Tanzania haina mpango wa kuwa na satelaiti ili kukua kiuchumi?

    Kwanini serikali ya Tanzania haina mpango wa kupeleka satellite yake Angani kama moja ya ukuaji wa kiuchumi ili kulinda siri ya nchi dhidi ya cybercrimes? Pia soma: Serikali ya Tanzania yaanza mchakato wa kuunda Satelaiti yake Tanzania kujenga satelaiti yake Nape Nnauye: Tanzania kuwa na...
  4. The Lonnie

    Kwanini riba za mabenki ni kubwa sana?

    Kwanini Riba ya mikopo ya mabenki ni kubwa kuliko anachopata mtumishi mfano unaeza kopa mil 6, take home mil 5.31 alafu marejesho inakua mil 9 hii imekaaje wakuu? Tuwasaidie Gen Zee
  5. The Lonnie

    Fursa ya Mikopo kwa watumishi kupitia ESS Portal

    Kopa uone riba zake utasimulia kizazi chako, uo ni mtego
  6. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Kinachohitajika ni ushauri awe yeye au mimi sio tatizo ila thread inaomba ushauri
  7. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Mkopo afu aondoke, that is economic fructuation,
  8. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Simple bro we unahis yeye ndo mwajiriwa pekee, amekuta watu wapo n kuna maduka ayo, inamaana walimu wengne hawajaona iyo fursa b4 yeye
  9. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari? Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo...
Back
Top Bottom