clouds pia wakome, waache unafiki. kwanza muda mwingi nawafuatilia wako biased sana, kama kuna habar iko kwa gazet kinyume na serikali either hawaisomi au wanasoma title tu. walijifanya kuwa ndo TBC ccm haina rafiki acha wakome na iwe fundisho. pia nashangaa wanamtoa mkulu katka hili swala et...
iam sure polisi wanafahamu kitendo cha kumkamata gwajima ni kumdhoofisha makonda maana gwajima akifika mahakamani ata mwaga kila kitu na mahakaman hakuna siri, huyo makonda ataitwa na ataulizwa maswali yatamshinda
hakuna sheria inayoweza kuchukuliwa dhidi ya mtu anaye sema ukweli, hata huo uchochezi hauwezi kuwa uchochezi kama mtu atathibitisha kuwa anachoongea ni cha kweli, polisi wanajua hilo pia wamechoka na kesi zinazoishia kuwapa umaarufu watu na kuwaacha wao na aibu
tatizo nahisi polepole ameshindwa kuendana na mambo huko ndan so kaamua bora liende. polepole tunaye mjua kilasiku angekuwa kwa media ktk vipindi mbalimbali, there must be sometthing wrong
Nahisi kama lema asingekuwa hivyo alivyo ccm wangeshachukua hilo jimbo kitambo, na kama mbinu ya ccm ni kumuweka ndan lema its a grave mistake since they are making him more popular,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.