Ukiambiwa Kiwanja kimepimwa Kiwe na Approve ya Wizara Ardhi Kama Hivi na Sqm zinasoma sio Miguu au futi Hii angalau Una Uhakika halafu Bei zao pia Mil 2,8 TU Kwa Sqm 400
Inawezekana Upo Sahihi Kabisa
Lakini Kwa Namna Yeyote Ile Nini Lengo Kuu La Mtoa Story?
Kwa Maana Ikiwa Alimaanisha Ujasusi Ukijumlisha na Chuki Zetu za Kiasili Afrika.
Unadhani Ni Chuki Kiasi Gani Itajengeka Katika Jamii Na Viongozi Wetu.
Mfano
Kuna Kitu Kilikua Kinaendelea Twitter Kipindi...
Naona Moto na Pepo Unataka Kututoa Kwenye Mada Bado Hakuna Aliyethibitisha Au Kukanusha Upweke Wa Mungu
Mthibitishieni Hata Kama Ni Dhana Au Mkanushieni
Angalizo !
Tumekuwa Makini Sana Kufatilia Hii Story Ambayo Mwenye Stori Yake Ametuhakikishia Haihusiani na Uhalisia Wowote .
Lakini Umakini Wetu Katika Kufatilia Na Comment Zetu Zinaonyesha Kuna Mahusiano Na Uhalis!ia Flani Ambao Tunaujua Aidha Kwa Dhana Au Kwa Minong'ono.
Katika Mazingira Ya...
Habari Wana JF,
Kuna Majengo Na Maeneo Mengi Hasa Yanayo nasibiana Na Wahindi Hasa
Kwenye Milango Au Magari Huwa Kuna Namba Hasa Hii 786 Ipo Maeneo Mengi Sana Ningependa Kujua Inahisiana na Nini Namba Hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.