Recent content by The Investigator

  1. T

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuzushiwa kifo na wananchi kuanza kuchoma moto mabango yake, Ali Khamenei wa Iran ajitokeza hadharani akiwa hana hata kovu

    Chuma gani?. Uchaguzi iliyopita wairani walimchagua mgombea asiye wa msimamo mkali na kumpiga Chini mgombea mwenye msimamo mkali wa kiislamu anayeungwa mkono na Khamenei.
  2. T

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuzushiwa kifo na wananchi kuanza kuchoma moto mabango yake, Ali Khamenei wa Iran ajitokeza hadharani akiwa hana hata kovu

    Sawa Muirani wa kiparang'anda. Ukiulizwa Tanzania Ina ndege ngapi hujui ila anapolala Nentanyahu unajua. Kweli akili ni Mali.
  3. T

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Hezbullah: Waisrael Hamtarudi North, Msahau Kabisa

    Ali Kamwe wa Hisbollah kauawa
  4. T

    JamiiForums Tanzania Msemaji wa Hezbollah atoka nduki baada ya kusema haogopi Mabomu ya Israel

    Na wamemmaliza kweli.
  5. T

    JamiiForums Tanzania Kwa sasa Iran ina wakristo 300,000 na makanisa 600

    Ipo siku Iran itaruhusu Ukristo kuwa rasmi nchini humo.
  6. T

    JamiiForums Tanzania Kwa kilichomtokea Niffer, naanza kupata mashaka kuhusu mafanikio ya kipesa ya hawa celebrity entrepreneurs wetu wa kibongo

    Shida anajiita bilionea halafu anataka watu wamchangie.
  7. T

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Nani ameandaa kinachoitwa Ripoti ya Miezi 6 ya Makonda? Kwanini na ili iweje?

    Makonda anapenda Sana sinema
  8. T

    JamiiForums Tanzania Kisa Kizito cha Mzee aliyemnyooshea Bakora Mwalimu Nyerere

    Nyerere atabakia Baba wa Taifa.
  9. T

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

    Mbona wewe ndio inakutesa. Nikikumbuka ulivyokuwa unashangilia wapinzani kuumizwa na huyo mpumbavu. Leo unajifanya kujiongelesha kinafiki. Yule mtu alikuwa muovu Bora alikufa kifo Cha aibu.
  10. T

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

    Acha uongo, Kenya Wana majanga gani?. Kenya IGP Masengeli alihukumiwa miezi SITA jela kwa kudharau mahakama mpaka alipoomba radhi ndipo mahakama ikampa pardon. Sio huku mtu anatekwa mchana na kuuawa ila IGP wala hasumbuki.
  11. T

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

    Muhuni Kama wewe unatakiwa kupigwa risasi ufe. Stupid idiot
  12. T

    JamiiForums Tanzania Wapinzani wangeliungana na Hayati Magufuli hakika tungelikuwa tushapata Tanzania Mpya, tatizo ni maslahi binafsi

    Itakutesa wewe mwenyewe. Mtu muuaji anawezaje kulaani watu?. Ndio maana alikufa mafichoni
Back
Top Bottom