Heri ya mwaka mpya wanafamilia ya jamii forum. Kwa wenye uzoefu na m-wekeza ya voda, mfano ukiwekeza let say Tsh. 10,000,000/= kwa miaka 10 kwa riba ya 13% kwa mwaka, je baada ya miaka 10 utaweza kupata kias cha Tsh. 33,945,673.899? Kama formula ya compound interest ilivyo? Au wao voda...
Kama wewe ni mwanafunzi au una ndugu au jamaa anahitaji kufanya maombi ya mkopo karibu sana napatikana MKOLANI JIJINI MWANZA... Nafanya kwa wakazi wa Mwanza na nje ya Mwanza (mikoa yote Tanzania. Wasiliana nami kupitia 0768436170 au 0716156624
Ingia kwenye sehem ya kulogin (NOAS) utaona kwenye profile lako kama utakuwa umechaguliwa uutaona kuna maelezo ya kukwambia kuwa umechaguliwa course moja wapo kati ya vyuo ulivyoomba na utaambiwa usubiri chuo chako kiconfirm kuna baadhi ya vyuo vinawapigia simu wanafunzi kuuliza kama utalipot au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.