Hili bado ni tatizo kubwa mpaka leo October 2023, ni wiki nzima imekwisha bila majibu yao na simu hazipokelewi. Usajili wa majina ya biashara unamaliza wiki na malipo yashafanyika sasa sijui kamouni usajili utachukua muda gani. Afrika tunasafari ndefu sana, pamoja na kupewa mshahara bado mtu...
Hongera Kaka. Zawadi ni zawadi, sikumbuki lini niliona Jamii forums kuna mtu anapewa zawadi sababu ya Uzi alioanzisha.
Heko INSIDER MAN umefanya kazi kubwa sana.
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
Huyu anasema haya sababu hana mume, wanawake kama hawana mume wanahangaika sana. Labda kumsaidia ongea naye achukue nafasi ya Presca maana najua ataachika soon.
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
Hadithi unayoisoma kwa dakika 10, kuna mtu ameiishi kwa mwaka mzima miaka 6, wakati flani mtu hapati uhalisia wa matukio na ugumu mtu anaopitia
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
Hongera kwa utafiti Mkuu. Ungeendelea kutupa data za utafiti wako, kwani uliwafikia machizi/ Wehu wangapi mpaka ukatamatisha utafiti kwa namna hii.
Na je, wale wote ambao hawana uvungu maana yake hawana ndugu wenye hizo shida ya akili? [emoji848]
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums...
Mapenzi kwa wafanyakazi yanaweza kuathiri kazi. Si kila kitu unachukulia personal, mambo mengine mtu anawaza kazi zake zitakuwaje, kama akina Sumaiya wanamzunguka kazini wakiungana na Insider itakuwaje, hata pata hasara zaidi??
Sent from my 23021RAAEG using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.