Recent content by The Great Haya

  1. The Great Haya

    Hii Hapa Ndio Mikoa 15 Inayoendesha na Kuchangia Zaidi Uchumi Wa Tanzania

    😂😂😂 Jamaa ana mikwala mingi kumbe hiyo Rombo yenyewe ya walevi
  2. The Great Haya

    Hii Hapa Ndio Mikoa 15 Inayoendesha na Kuchangia Zaidi Uchumi Wa Tanzania

    Una makelele mengi na ushamba kaskazini bila utalii ni zero ndo maana mmepakimbia wamebaki walevi
  3. The Great Haya

    Hii Hapa Ndio Mikoa 15 Inayoendesha na Kuchangia Zaidi Uchumi Wa Tanzania

    Utalii gani ulikuzwa kanda ya ziwa wakati watalii wa serengeti wanashukia KIA??? Awamu zote za uongozi mpaka kwa Kikwete plus mother wameipendelea kaskazini ukiacha kanda ya pwani.
  4. The Great Haya

    Hii Hapa Ndio Mikoa 15 Inayoendesha na Kuchangia Zaidi Uchumi Wa Tanzania

    Unaongea kwa ushabiki au? Unasemaje kaskazini hakuna uwekezaji wakati tunaona serikali imewekeza sana kwenye utalii pamoja mambo mengine. Mfano makao ya east Africa Arusha, ujenzi wa uwanja wa mpira mpya zote ni juhudi na uwekezaji wa serikali na vina impact kubwa kwenye kuinua uchumi wa kaskazini
  5. The Great Haya

    Hii Hapa Ndio Mikoa 15 Inayoendesha na Kuchangia Zaidi Uchumi Wa Tanzania

    Niliacha kubisha na wapiga makelele wahaya hatujawahi kukwama. Nimejaribu kufupisha hiyo video jitahidi uangalie mpaka mwisho alafu jitahidi utembee upunguze ushamba.
  6. The Great Haya

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Kwa haraka hapa unaona watu wametoka Kusini na matatizo yao wamekuja kujificha huku. Watu wa kusini ndo maisha yao hayo wala hatushangai
  7. The Great Haya

    Daraja la Magufuli ni moja ya White Elephant Project kubwa sana katika nchi hii. Daraja litakuwa la kupigia picha na kurekodi Movie

    Watanzania roho mbaya kila sehemu yaani kitu kama hakijafanyika kwake anaona ni kibaya. Nina imani mtoa mada hajui usumbufu na upotevu wa muda uliopo pale, mbaya zaidi ni pamoja na wagonjwa mahututi wa rufaa kwenda bugando.
  8. The Great Haya

    Kahama VS Njombe/Mafinga

    Wakati mwingine jaribu kutumia akiri kidogo, slums na ardhi kutokupimwa havina uhusiano. Mfano mikoa ya Kilimanjaro na Kagera watu wanajenga kwenye mashamba ya ukoo huko vijijini, sio rahisi mtu kupima hayo maeneo.
  9. The Great Haya

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    Shukurani mkuu HIV ni -ve ila h pyrol ninazo
  10. The Great Haya

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    Ehu Ahsante kwa ushauri mkuu
  11. The Great Haya

    Naomba msaada nina tatizo la Tonsils

    Habari za majukumu wakuu, ndugu zangu nimekuwa nasumbuliwa na tonsils za upande wa kulia mda mrefu. Nimetumia antibiotics hasa amoxicillin kwa muda mrefu lakini zinarudia mara kwa mara. Nilishaacha hata kunywa vitu vya baridi lakini bado. Nina imani humu kuna wataalamu mbalimbali na wenye...
Back
Top Bottom