Recent content by The got

  1. The got

    JamiiForums Tanzania NCCR Mageuzi na CCM ndio vyama pekee vyenye Uwezo wa kupewa Nchi, Watanzania msidanganyike

    Mawazo kama haya ndo yanayo ashiria udumavu wa akili
  2. The got

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu yaahirisha kutoa hukumu ya kina Halima Mdee leo Julai 6, 2022

    Ikihusu kuumbuliwa serikali, hutasikia swali hili likifanyiwa kazi, na swali hili ndo linaeleza mahakama zetu zisivyo huru
  3. The got

    JamiiForums Tanzania Utajibuje ukiulizwa utaifanyia nini Tanzania?

    Nitaiondolea CCM ili iondokane na umasikini uliotopea
  4. The got

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mimi natafuta wimbo ufuatao nitapata wapi CD yake? Unaitwa, Yule mtu Msamalia. Baadhi ya maneo take kwenye kiitikio " watuwale, kumi, walitakasika. Mmojawao aliendaa kujionyesha kwa makuhani, lakini wake jenda hawakurudi. Wimbo ni wa Kwanya la kanisa LA uinjilisti Mbalizi Mbeya. Uliimbwa kama...
  5. The got

    JamiiForums Tanzania CCM yaridhia Katiba Mpya, kwamba ni takwa la Wananchi, je itaafikiwa na Wananchi?

    Amakweli Sukuma gang inashambuliwa, pande zote. Mkuu wa malaika, watuwako wanaumizwa huku hawana pa kuegemea!
  6. The got

    JamiiForums Tanzania Kumbe shida kubwa kwa WanaCHADEMA ilikuwa ni kulamba asali na wala sio maslahi mapana ya umma. Shida kubwa ilikuwa mpate mlo wala sio kutetea wananchi

    CDM inamtizamo wake na inatenda inavyo ona sawa na wewe, wakati wa jiwe kwakuwa ulikuwa unapatiwa damu za watu alio waua na kuwakandamiza hukuonekana kuumia mana udhalimu uliokuwa unafanyika ni furaha kwako. CDM wakati huo walikuwa wanaumia, kama we we unavyo umia na amani na haki iliyopo sasa.
  7. The got

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

    Lile zimwi kisha ondolewa na Mungu, usipende kupingana na Mungu. Mungu alisha liona litamaliza watu wenye haki ili litimize mapenzi ya shetani juu ya watanzania, akapitisha uamuzi sahihi tarehe 17 march, tukapata ukombozi wetu toka mikononi mwa shetani, mana hata mkoloni alikuwa afadhali
  8. The got

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

    Bora hivi kuliko kutishana,kutekana,kuuana,kisa kukosolewa madarakani.
  9. The got

    JamiiForums Tanzania Bernard Membe kumbuka wakati hizo maiti unazodai kuokotwa kwenye viroba Rais Samia alikuwa Makamu wa Rais. Na hii bado ni Serikali ya awamu ya tano

    Kama, alihusika katika hayo maiaji, basi taifa inabidi limpe tuzo na tumjengee sanamu katikati ya nchi kama shukurani kutukomboa toka mikono dhalimu ya yule nduli.
  10. The got

    JamiiForums Tanzania Kanda ya Ziwa ndio ukanda wenye mtaji mkubwa wa wapiga kura nchi hii kuliko kanda zote

    Jiwe amenifanya niidharau hiyo kanda. Kwakweli kumuunga mkono mgombea toka kanda hiyo, itachukua muda
  11. The got

    JamiiForums Tanzania Halima Mdee anusa 10 percent -Awamu ya 5 Ilimpa Kazi ya ujenzi wa Bwawa la Umeme la Nyerere Mkandarasi asiye na uwezo

    Hapana, dhambi kubwa ni kumchekea na kumpongeza mwenda zake kabla na hata baada ya uchaguzi wa 2020 huku tunaona anakiuka haki za watu wenye ufahamu wengi
Back
Top Bottom