Huyo mwenyekiti asipokuwa mwangalifu atakuta ndiye anatumika kuiua CHADEMA kirahisi sana, kuliko ilivyowahi kutokea siku za nyuma.Naona Asali Haijawafikia BAVICHA maana M/kiti ni kama haoni yanayoendelea kwenye Chama chake CHADEMA kwa sasa.
Virusi vyake vingali bado vinadundaKwani si mlisema mtekaji ameshatangulia mbele ya haki?au ni mimi ndo sikuwaelewa?
Remnants wake bado wapo, ila nao watamfuata Kiongozi wao, soonKwani si mlisema mtekaji ameshatangulia mbele ya haki?au ni mimi ndo sikuwaelewa?
AminaRemnants wake bado wapo, ila nao watamfuata Kiongozi wao, soon
wewe jamaa na wenzako hamnazo kabisaVirusi vyake vingali bado vinadunda
Lakini cha kufurahisha ni kwamba hatujawahi kuwa watekajiwewe jamaa na wenzako hamnazo kabisa
vijana hamna akili nyie mnakula kwa, kuandika ujinga mtandaoni mmezeeka zindukeniRemnants wake bado wapo, ila nao watamfuata Kiongozi wao, soon
Nyie mnajua wenyewe lichama limeuzwa na limekufa piaTumemuua nani ?
Yaani unazungumzia viongozi wa sasa hivi au maana yeye ndio aliwachagua na wameshirikiana nae katika mambo mengi.Remnants wake bado wapo, ila nao watamfuata Kiongozi wao, soon
Popomalism stay tuned....Naona Asali Haijawafikia BAVICHA maana M/kiti ni kama haoni yanayoendelea kwenye Chama chake CHADEMA kwa sasa.
Niko Chatomobutu ...you should rethink....Acheni kuwatetea vijana wakorofi kama Twaha Mwaipaya. Huyu muacheni akakabiliane na mashtaka yake
Alipoleta taharuki kwa watu kwamba Umeme umepanda bei na na kusambaza picture za kizushi kua Ng'ombe zimepigwa risasi na Police hamkuona kwamba ni kosa, Mbona hamkusema au lile mliona sawa kwenu,
Nyinyi huu upinzani wenu umekua wa kipuuzi Sana kwa kweli
Huwa hana busara.Kiukweli, huwaga sipendi kumtukana mtu, ila Mungu akurehemu.
Jesus is Lord
MkuuLakini cha kufurahisha ni kwamba hatujawahi kuwa watekaji