Kama jamaa alivyokujibu hapo juu, ni financial regulations za Tz ndo shida kwenye issue ya kupokea fedha kutoka nje. Natumia Paypal since 2010, sijawahi pokea fedha toka nje, zaidi ya kutuma tu. Ni Skrill tu nimetumia peke yake kupokea.
Kindly check below response from Paypal Team on receiving...
Asante Mkuu.
Tumekomaa nayo kwa miaka 18 isiuzwe.
Kuna mali zingine ziliuzwa na baadhi ya ndugu bila sisi kunufaika, ni nyumba tu iliyokuwa imebaki(nayo walitaka waiuze). Tumeitunza, imetusaidia kma sisi kusoma, na wenyewe madogo pia. Sasa saizi madogo washakuwa wakubwa na wenyewe ndo wanataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.