Mkuu, leo tarehe 16/06/2025 bado unaamini kuwa Israeli haitaweza kuishambulia IRAN kwasababu hizo ulizozitoa?
Bado unaamini Israeli wanawaza kama wewe?
Pengine hili ndio swali la msingi la kujiuliza, toka mwaka 2023 Israel imefanikiwa kuwauwa viongozi wa juu kabisa wa Iran kwa kasi kubwa na kwa ufanisi mkubwa sana, kila pigo la Israel limekuwa on target kwa ufanisi, nini hasa sababu ya hili kufanikiwa?
Je ni kwamba Iran ni nyepesi kiasi hicho...
Mwanzoni wakati kampuni inaanzishwa kilitengenezwa kinywaji cha limao(lemon) mmiliki Charles Leiper Grigg akatoa kazi kuwa anatafuta jina la kipekee na linalo vutia macho ya watu kwaajili ya kinywaji hicho kipya cha limao(lemon).
Wabunifu walitengeneza majina mengi, ila katika majina yote ni...
Ufafanuzi mwepesi.
Ndege inapokimbia kwenye barabara yake (#runway) kwaajili ya kupaa, kuna kasi tofauti ambazo Rubani msaidizi '#First_Officer au Rubani kiongozi #Captain anataja ili anayehusika kurusha ndege (Pilot in command) afahamu maamuzi aliyonayo katika mwendo husika.
Ndege (hasa kubwa)...
Wakuu salamu.
Kuna kituo kidogo cha polisi kipo maeneo ya Kimara Stop over, mitaa ya Rift valley. Kituo hiki kimekuwa kama shamba la bibi kwa police jamii na sungusungu wa eneo lile. Kimekuwa kama ndio kijiwe chao cha kahawa.
Muda wote ukienda hapo utakuja wamejazana huko ndani, wanapanga njia...
Wakuu salamu.
Kwa utafiti wangu nimegundua kwamba Hamas ndio chanzo cha migogoro mingi kati ya Israel na Palestine kwa KIJISABABU kuwa ardhi ya Israel ni mali yao wapalestina.
Wanaweza kuwa na hoja, lakini hoja hiyo kwasasa haina mashiko kwasababu kuna vizazi vipya vimeshazaliwa kwenye ardhi...
Hujajibu swali kaka, WANAWAKE watapewa nini?
Kuna ahadi gani kwa wanawake?
Je, hawa wanaoishi hapa duniani wakifa wataenda kupata wanaume wengine au wataende kuwa kina nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.