Wakuu salamu.
Kuna kituo kidogo cha polisi kipo maeneo ya Kimara Stop over, mitaa ya Rift valley. Kituo hiki kimekuwa kama shamba la bibi kwa police jamii na sungusungu wa eneo lile. Kimekuwa kama ndio kijiwe chao cha kahawa.
Muda wote ukienda hapo utakuja wamejazana huko ndani, wanapanga njia...
Wakuu salamu.
Kwa utafiti wangu nimegundua kwamba Hamas ndio chanzo cha migogoro mingi kati ya Israel na Palestine kwa KIJISABABU kuwa ardhi ya Israel ni mali yao wapalestina.
Wanaweza kuwa na hoja, lakini hoja hiyo kwasasa haina mashiko kwasababu kuna vizazi vipya vimeshazaliwa kwenye ardhi...
Hujajibu swali kaka, WANAWAKE watapewa nini?
Kuna ahadi gani kwa wanawake?
Je, hawa wanaoishi hapa duniani wakifa wataenda kupata wanaume wengine au wataende kuwa kina nani?
Kitabu cha kwanza kutafsiriwa kwenda kwenye lugha nyingi ni Biblia, Ambayo ilitafsiriwa kwenda kwenye lugha takribani 3589.
Kitabu cha pili kutafsiriwa kwa lugha nyingi ni Don Quixote, riwaya iliyoandikwa na Miguel de Cervantes (Pichani), Riwaya hii huhesabiwa kuwa ni riwaya bora ulaya nzima...
Nataka nianzishe mradi wangu wa ku-flash simu za aina zote.
Ni computer ya aina gani inaweza kuwa mzuri kwa kazi hii. Iwe na specifications za aina gani?
Kuhusu route ya Posta, Sinza hadi makumbusho via morogoro road nakupinga. Vituo vipo ila sio vya kupigia debe ni kushusha na kupakia.
Hakuna kukaa hapo na kupiga debe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.