Recent content by The Genius

  1. The Genius

    Zitambue Sifa/Tabia Kuu 10 za Mwanaume Wa Kihaya hapa Tanzania

    Wengi ndio madalali na matapeli wa kutuma zile SMS. Hii mbona hujaiweka?
  2. The Genius

    Police Jamii na Sungusungu wanatumia vibaya kituo kidogo cha Police Lift-Valley, Kimara Stop Over

    Wakuu salamu. Kuna kituo kidogo cha polisi kipo maeneo ya Kimara Stop over, mitaa ya Rift valley. Kituo hiki kimekuwa kama shamba la bibi kwa police jamii na sungusungu wa eneo lile. Kimekuwa kama ndio kijiwe chao cha kahawa. Muda wote ukienda hapo utakuja wamejazana huko ndani, wanapanga njia...
  3. The Genius

    Kwanini Palestina wasiungane na Israel kuangamiza Hamas?

    Wakuu salamu. Kwa utafiti wangu nimegundua kwamba Hamas ndio chanzo cha migogoro mingi kati ya Israel na Palestine kwa KIJISABABU kuwa ardhi ya Israel ni mali yao wapalestina. Wanaweza kuwa na hoja, lakini hoja hiyo kwasasa haina mashiko kwasababu kuna vizazi vipya vimeshazaliwa kwenye ardhi...
  4. The Genius

    Je, kama wanaume watapewa wanawake wapya na mabikra wapya Mbinguni, sisi wanawake wa Duniani tutapelekwa wapi?

    Hujajibu swali kaka, WANAWAKE watapewa nini? Kuna ahadi gani kwa wanawake? Je, hawa wanaoishi hapa duniani wakifa wataenda kupata wanaume wengine au wataende kuwa kina nani?
  5. The Genius

    Je, Netanyau anataka kufanya Mauaji ya halaiki Ukanda wa Gaza, Palestina!?

    Umeanza siasa Sasa. Kama umeanza vita hakikisha una uwezo wa kuishinda. Sio ukianza kupigwa uje na vihoja eti ' root cause analysis '
  6. The Genius

    Tuweke hisia pembeni Israel ni ya Waisrael

    Kwani ushoga ulianza lini? Sodoma na Gomora ziliadhibiwa kwasababu gani?
  7. The Genius

    Tuweke hisia pembeni Israel ni ya Waisrael

    Kwann tukiamini hicho kitabu?
  8. The Genius

    Wakristo wanatakiwa kuombea amani Mashariki ya Kati

    Na wewe mwislamu unayoiombea Palestine ushindi ni MPUMBAVU
  9. The Genius

    Kijue kitabu kilichotafsiriwa kwa lugha nyingi zaidi duniani

    Kitabu cha kwanza kutafsiriwa kwenda kwenye lugha nyingi ni Biblia, Ambayo ilitafsiriwa kwenda kwenye lugha takribani 3589. Kitabu cha pili kutafsiriwa kwa lugha nyingi ni Don Quixote, riwaya iliyoandikwa na Miguel de Cervantes (Pichani), Riwaya hii huhesabiwa kuwa ni riwaya bora ulaya nzima...
  10. The Genius

    Nataka nianzishe mradi wangu wa ku-flash simu za aina zote

    Nataka nianzishe mradi wangu wa ku-flash simu za aina zote. Ni computer ya aina gani inaweza kuwa mzuri kwa kazi hii. Iwe na specifications za aina gani?
  11. The Genius

    Bajaji za Ferry-Kariakoo zifutwe

    Kuhusu route ya Posta, Sinza hadi makumbusho via morogoro road nakupinga. Vituo vipo ila sio vya kupigia debe ni kushusha na kupakia. Hakuna kukaa hapo na kupiga debe
  12. The Genius

    Nataka kuanza kununua dada poa ili kuiponya nafsi yangu

    Andaa kaburi kabisaaa, maana lazima utauza mechi tuu
Back
Top Bottom