Kaka nimesema kutoa fedha ATM(kwa kadi au bila kadi) sio wakala , bila kadi inamaana unagenerate code, utaweka namba ya simu na kiasi unatoa hela yako..
Ni sawa na ile huduma ya RFI ya kuscan kadi bila kuidumbukiza kwwnye ile slot yake
Bro look and feel za JF na Insta nitofauti.
Unahisi hao wanaotumia IG hawatumii JF, huku kuingia tu bila VPN ni ngumu, bado mtu aanze kwenda kwenye forums za biashara aje kukutana na tangazo lako, wakati insta ukiingia tu unakutana na matangazo kibao hata yale ambayo.hauko interested nayo...
Angeichukua hata hiyo mbeya city awe ana finance kila kitu, ujue watu wa nyanda za juu kusini tuna umoja sana , sio jambo la kushangaa team ya Mbeya ikashabikiwa na watu wa Iringa, Njombe, Songwe hata Ruvuma pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.