Moja na nusu kaka kama sijasahau ,hapa nacheki gemu ya arsenal nimempa kona 5 hadi sasa dk ya 14 kona 2 tayari. Ajax nimempa over .5 ila hadi 1st inaisha 0 0 ngoja tuone
Jana galatasary nlimpa awe wa kwanza kupata goal akachana, nikampa bayern corner 5 akachana , leo tena nimempa zenit awe wa kwanza kupata goal amechana
Wawekezaji kuna haya mashindano yanaendelea huko , jana nimeotea nikala sihaba
Haya ni mashindano ambayo yanakutanisha team kubwa na team za madaraja ya chini ,mfano wa team za EPL kucheza nazile za ligue 1 na championship kwenye EFL sijui FA hivyo.
Options nzuri ni over 2.5 znatoa sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.