Hii stori nahisi kuna sehemu nyingine uzi tofauti na huu nimeisoma.
Ingekuwa miaka ile nachek video za ajabu ingeandika "watched"
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Kutongozwa ndiyo ni kawaida lkn inategemea na manzi alikua anareact positive au negative kwa hio mitongozo.
Haiwezekani ushajua mtu anakutaka akaomba miadi mkutane sehemu nawewe ukakubali
Duuh leo nlikuwa naaibika aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nacheki huu uzi picha moja matata sana, akaja staff mwenzangu akani excuse nimpishe avae, nimelock screen mikatoka nje,
Nimerudi nipo na mtu wa heshima nimekaa kwenye kiti yeye yupo nyuma yangu kasimama nikatoa lockscreen...
Moja na nusu kaka kama sijasahau ,hapa nacheki gemu ya arsenal nimempa kona 5 hadi sasa dk ya 14 kona 2 tayari. Ajax nimempa over .5 ila hadi 1st inaisha 0 0 ngoja tuone
Jana galatasary nlimpa awe wa kwanza kupata goal akachana, nikampa bayern corner 5 akachana , leo tena nimempa zenit awe wa kwanza kupata goal amechana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.