Recent content by The Garang

  1. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kila nikimuona mamelodi mata*k yake
  2. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwa nacheki live game afu naangalia trend naweka mpunga ila naona week iliyopita nikama mhindi alitaka arudishe namna nilivompuna week 2 zilzopita
  3. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Moja na nusu kaka kama sijasahau ,hapa nacheki gemu ya arsenal nimempa kona 5 hadi sasa dk ya 14 kona 2 tayari. Ajax nimempa over .5 ila hadi 1st inaisha 0 0 ngoja tuone
  4. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nlikuwa nimesuka odds 11 zateam kama 7 tu ila hao wajinga ndio wameenda na mkeka wangu
  5. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana galatasary nlimpa awe wa kwanza kupata goal akachana, nikampa bayern corner 5 akachana , leo tena nimempa zenit awe wa kwanza kupata goal amechana
  6. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kampuni
  7. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hao basi jau
  8. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    wakuu nipo nacheki gemu ya dortmund hapa , kma kuna mtu kampa direct win afanye ku cash out mkeka wake
  9. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Treni langu la odds 1600+ lilianza vibaya na kumaliza vyema, 3 lost out of 44 Mtafutano unaendelea ngoja nitulie tena
  10. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hizi team sportybet wamezitoa Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  11. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    6DMFTN Sportybet Odds 11 Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  12. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    6DMFTN Odds 11 Sportybet ukitaka kutoa team toa hizo za saudi pro league Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  13. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wawekezaji kuna haya mashindano yanaendelea huko , jana nimeotea nikala sihaba Haya ni mashindano ambayo yanakutanisha team kubwa na team za madaraja ya chini ,mfano wa team za EPL kucheza nazile za ligue 1 na championship kwenye EFL sijui FA hivyo. Options nzuri ni over 2.5 znatoa sana...
  14. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ngoja nicheki kaka japo bahati hizi haziji mara kwa mara
Back
Top Bottom