Recent content by The Garang

  1. The Garang

    Simbanking Vs ATM card charges wakati wa ku-withdraw

    Kaka nimesema kutoa fedha ATM(kwa kadi au bila kadi) sio wakala , bila kadi inamaana unagenerate code, utaweka namba ya simu na kiasi unatoa hela yako.. Ni sawa na ile huduma ya RFI ya kuscan kadi bila kuidumbukiza kwwnye ile slot yake
  2. The Garang

    Kwanini wake za watu ndio wanaongoza kuchepuka?

    Hili jambo mwenyewe huwa linalinkosesha amani kabisa
  3. The Garang

    Simbanking Vs ATM card charges wakati wa ku-withdraw

    Kutoa kwa card na bila card zina makato sawa kama utatumia ATM
  4. The Garang

    Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

    Muwe mnaweka bei na maduka yalipo
  5. The Garang

    KERO Kimara Mwisho asubuhi kuna Foleni kali isiyotembea Dar nzima ikasome!

    Kuna trailer limeharibika pale Korogwe, nafikiri Jeshi la Polisi lingeruhusu watu watumie njia ya mwendokasi kuanzia Kimara hadi Korogwe
  6. The Garang

    JF Member wengi hawana hela ila wanajiita Great Thinkers, Kivipi?

    Bro look and feel za JF na Insta nitofauti. Unahisi hao wanaotumia IG hawatumii JF, huku kuingia tu bila VPN ni ngumu, bado mtu aanze kwenda kwenye forums za biashara aje kukutana na tangazo lako, wakati insta ukiingia tu unakutana na matangazo kibao hata yale ambayo.hauko interested nayo...
  7. The Garang

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Citizens always
  8. The Garang

    Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

    Angeichukua hata hiyo mbeya city awe ana finance kila kitu, ujue watu wa nyanda za juu kusini tuna umoja sana , sio jambo la kushangaa team ya Mbeya ikashabikiwa na watu wa Iringa, Njombe, Songwe hata Ruvuma pia
  9. The Garang

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    [emoji23][emoji23][emoji23]
  10. The Garang

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu kwann kuchagua mke tena?
Back
Top Bottom