Recent content by The Garang

  1. The Garang

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii stori nahisi kuna sehemu nyingine uzi tofauti na huu nimeisoma. Ingekuwa miaka ile nachek video za ajabu ingeandika "watched" Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  2. The Garang

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hii mbaya bro ,kwann unenepeshe mamanzi afu waje kuliwa na wengine
  3. The Garang

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Kutongozwa ndiyo ni kawaida lkn inategemea na manzi alikua anareact positive au negative kwa hio mitongozo. Haiwezekani ushajua mtu anakutaka akaomba miadi mkutane sehemu nawewe ukakubali
  4. The Garang

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Duuh leo nlikuwa naaibika aiseee [emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nacheki huu uzi picha moja matata sana, akaja staff mwenzangu akani excuse nimpishe avae, nimelock screen mikatoka nje, Nimerudi nipo na mtu wa heshima nimekaa kwenye kiti yeye yupo nyuma yangu kasimama nikatoa lockscreen...
  5. The Garang

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hii gemu nimeipa kadi 3 lakn sion zikitoka haap
  6. The Garang

    JamiiForums Tanzania Chimbo la vifaa vya umeme Kariakoo

    Subscribed
  7. The Garang

    JamiiForums Tanzania Je, ulishawahi kulazimisha mpenzi au rafiki aendelee kubaki maishani mwako?

    Nasoma hii comment yako nikiwa nasililkza song la Headlights by alan walker Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
  8. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Kila nikimuona mamelodi mata*k yake
  9. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwa nacheki live game afu naangalia trend naweka mpunga ila naona week iliyopita nikama mhindi alitaka arudishe namna nilivompuna week 2 zilzopita
  10. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Moja na nusu kaka kama sijasahau ,hapa nacheki gemu ya arsenal nimempa kona 5 hadi sasa dk ya 14 kona 2 tayari. Ajax nimempa over .5 ila hadi 1st inaisha 0 0 ngoja tuone
  11. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nlikuwa nimesuka odds 11 zateam kama 7 tu ila hao wajinga ndio wameenda na mkeka wangu
  12. The Garang

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana galatasary nlimpa awe wa kwanza kupata goal akachana, nikampa bayern corner 5 akachana , leo tena nimempa zenit awe wa kwanza kupata goal amechana
Back
Top Bottom